Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
Hakuna msukuma wa kunishangaza awamu hii.
Mimi ni mtetea haki za watu.
Na ni haki za aina zote.
Hata kuwa mjinga, kuwa msukule, kuwa shoga, kuwa fan wa Mange, na kadhalika, zote ni haki zako.
Hivyo una haki ya kuwa fan wa Mange. Una haki ya kuwa mjinga kama unapenda. Una haki ya kuwa mpumbavu kama unataka, n.k.