white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,323
- 2,487
mods haoJaman yale mapicha mengine mbona mmeyafuta?!
mods haoJaman yale mapicha mengine mbona mmeyafuta?!
nimepitia hiyo account yakehii akaunt yake ya fb na ipo waz kachungulien had boss wake bashite kampost
Jibu la Mwigulu halijakamilika. Alipaswa kutuambia kama yule hakuwana askari polisi. Je ni nani ?
Ndo nani huyu jamaa
Hawa watu anachosema mange ndio sahihi kwaoMange keshasema, sio?
Mange akisema, amesema komredi...Mange keshasema, sio?
Oh basi sawa Komredi
Hamna namna tena komredi...Oh basi sawa Komredi
Fungika banaa!ata
kuwa alitumwa na nanihii.................. maana nasikia gari yake ilishinda mlimani city akimwinda nanihii
ni mwenzako au ndugu yako jitoe ili usioneMods msifute hizi picha bwana. Zimeshasambaa vya kutosha kabisa
ndo kitambulisho chaoBoya uyo na kinembo anacho hapo kwenye koti.
Kweeli kabisa Mkuu, Ndo maana tunafunzwa kuwa watu wachunguzi wa vitu kwa undani.! Sioni relation yao hao wawili hata kidogo zaidi naona politics ndani ya ukweli wa factsEmbu usiwe mfuasi wa mange kizembe namna hiyo.
Kagua picha moja moja ya huyo jamaa, halafu mlinganishe na yule jamaa wa pistol kama hata wanaendana kiumbo, huyu jamaa ana kamwili ka mazoezi, sio mwembamba kama yule mrengaji wa nape.
Hapakuwa na ulazima wa kuwatumia watu wengine zaidi ya Askari polisi kwenye issue ya Nape.
Soma vizuri nilichoandika mkuu nduguni mwenzako au ndugu yako jitoe ili usione
Hahaha Bavichaa wanavyomuamini Mange...anaweza kuweka picha ako akasema wewe ni Mungu na wakaamini.Kumbe ki-nembo cha tiss ndo hiko