Mwigulu Nchemba mwezi wa Tano mwaka huu alikuwa safarini nje ya nchi 'kikazi' na inasemekana alikuwa China.
Wakati anaondoka kwenda huko hakutueleza humu JF lakini aliporejea tu nchini alituambia amerejea lakini hakutuambia nini hasa kilimpeleka huko.
Watu wengi wana wasiwasi mkubwa na Mwigulu kuhusu kitu alichokwenda kujifunza au kufanya huko Ughaibuni ukizingatia mabadiliko kadhaa yaliyojionyesha wazi wazi mara tu aliporudi, kwa mfano:
1/Amefuga ndevu nyingi na kumfanya kuonekana kama Jonas Savimbi, na kila aliyemuona aliona sura ya utisho au ukatili fulani.
2/Anavaa mavazi ya rangi ya kijani yenye mwenekano na muundo wa kijeshi kijeshi.
3/Anavaa kofia maalum na yenye alama ya nyota nyekundu(Hii ni kofia aliyokuwa inapendwa kuvaliwa na mkomonisti wa China Mao, mafashisti kadhaa duniani na baadhi ya madikteta wa Asia , Amerika ya kusini na Africa hapo zamani)
4/Ametoa mwongozo na msisitizo mkubwa sana kuwepo kwa makambi ya vijana wa CCM huko Mbeya na kupewa mafunzo maalum yenye mlengo na mwelekeo wa kijeshi.
5/Amekuwa akitoa kauli za kiamri kwa wananchi na wanaCCM kila alipopita kufanya mkutano au kikao.
6/Amekuwa akitoa kauli zenye kuonyesha kiburi cha CCM kuendelea kutawala kwa gharama yoyote(Kwa mfano, juzi Arusha alikaririwa akisema ''Wakazi wa Arusha wasipoichagua CCM wajiandae kufa!!'' na pia aliwahi kusema ''Mpende msipende CCM ni lazima itangazwe mshindi'')
7/Amekuwa akitoa Amri tatanishi kwa maRPC, DC, RC nk utadhani yeye ndiye aliyewaajiri(Amefanya hivyo Mbeya, Arusha na Manyara)
9/Amebadilisha mfumo mzima wa kufanya siasa, kwa sasa amekuwa akitembea na Shonza, Mwampamba na
Peter(Kijana aliyeharibika sura kwa kumwagiwa Tindikali) karibu kila mahali badala ya kuwabeba wajumbe muhimu wa juu wa chama.
9/Amekuwa akitoa fedha nyingi sana kwa vijana wake anaotaka kuwatuma kwenda kufanya shughuli fulani za kisiasa zenye hatari kubwa (Mfano kwenda kutiShia watu wanaiunga mkono CHADEMA hasa vijijini)
10/Amekuwa akiaandaa mikutano na Operesheni za Chama pasipo kupata maoni au ushauri wa wajumbe wengine wa Secretarieti ya CCM
(Yeye mwenyewe anadai baadhi ya makada wenzie ni waoga na pia kuna wanaotaka kumhujumu kwa sababu zao binafsi na hapo anakumbushia suala la Lwekatare namna walivyomwacha mwenyewe wakati shughuli ilipaswa kufanywa zaidi na Dola kuliko yeye binafsi)
Wakati anaondoka kwenda huko hakutueleza humu JF lakini aliporejea tu nchini alituambia amerejea lakini hakutuambia nini hasa kilimpeleka huko.
Watu wengi wana wasiwasi mkubwa na Mwigulu kuhusu kitu alichokwenda kujifunza au kufanya huko Ughaibuni ukizingatia mabadiliko kadhaa yaliyojionyesha wazi wazi mara tu aliporudi, kwa mfano:
1/Amefuga ndevu nyingi na kumfanya kuonekana kama Jonas Savimbi, na kila aliyemuona aliona sura ya utisho au ukatili fulani.
2/Anavaa mavazi ya rangi ya kijani yenye mwenekano na muundo wa kijeshi kijeshi.
3/Anavaa kofia maalum na yenye alama ya nyota nyekundu(Hii ni kofia aliyokuwa inapendwa kuvaliwa na mkomonisti wa China Mao, mafashisti kadhaa duniani na baadhi ya madikteta wa Asia , Amerika ya kusini na Africa hapo zamani)
4/Ametoa mwongozo na msisitizo mkubwa sana kuwepo kwa makambi ya vijana wa CCM huko Mbeya na kupewa mafunzo maalum yenye mlengo na mwelekeo wa kijeshi.
5/Amekuwa akitoa kauli za kiamri kwa wananchi na wanaCCM kila alipopita kufanya mkutano au kikao.
6/Amekuwa akitoa kauli zenye kuonyesha kiburi cha CCM kuendelea kutawala kwa gharama yoyote(Kwa mfano, juzi Arusha alikaririwa akisema ''Wakazi wa Arusha wasipoichagua CCM wajiandae kufa!!'' na pia aliwahi kusema ''Mpende msipende CCM ni lazima itangazwe mshindi'')
7/Amekuwa akitoa Amri tatanishi kwa maRPC, DC, RC nk utadhani yeye ndiye aliyewaajiri(Amefanya hivyo Mbeya, Arusha na Manyara)
9/Amebadilisha mfumo mzima wa kufanya siasa, kwa sasa amekuwa akitembea na Shonza, Mwampamba na
Peter(Kijana aliyeharibika sura kwa kumwagiwa Tindikali) karibu kila mahali badala ya kuwabeba wajumbe muhimu wa juu wa chama.
9/Amekuwa akitoa fedha nyingi sana kwa vijana wake anaotaka kuwatuma kwenda kufanya shughuli fulani za kisiasa zenye hatari kubwa (Mfano kwenda kutiShia watu wanaiunga mkono CHADEMA hasa vijijini)
10/Amekuwa akiaandaa mikutano na Operesheni za Chama pasipo kupata maoni au ushauri wa wajumbe wengine wa Secretarieti ya CCM
(Yeye mwenyewe anadai baadhi ya makada wenzie ni waoga na pia kuna wanaotaka kumhujumu kwa sababu zao binafsi na hapo anakumbushia suala la Lwekatare namna walivyomwacha mwenyewe wakati shughuli ilipaswa kufanywa zaidi na Dola kuliko yeye binafsi)