Mwigulu aanza tena kampeni zilizomfukuzisha uwaziri awamu ya 5

Kichekesho hiki yaani watu wajazane bila kuhofia korona ili kimuona waziri wa tozo & makato

Kama anataka kutumia hilo kusanyiko kumtisha yule mama mvaa ushungi naona hilo halitamsaidia
 
View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.

My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
Miye nilishamwambia mmaa uyu jamaa ni jipu akili yake yote urais wa inchi hii uyu ndio Gaidi Sasa maana anamini kabisa urais unamfaa
 
View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.

My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
Mwiguli siku zake zinahesabika
 
View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.

My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
Hao wananchi walitakiwa wamtamdike Mawe ya kutosha
 
View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.

My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
ITV ni waongo na wamelipwa ili kuandika huu upupu, hakuna mwananchi anayeweza "kuzuia" msafara wa hivi vi-local bourgeoisie. Nasema hakuna, huu ni ujinga na kukosa weledi wa kazi zao.

Huo ni mkusanyiko uliandaliwa na walivyo wajinga wanasahau kuhusu kuchukua tahadhari ya Covid 19
 
Mwigulu ni comedian mzuri sana, na hata chama chake kinamjua vizuri, apo sijui anamdanganya nani?
 
ITV ni waongo na wamelipwa ili kuandika huu upupu, hakuna mwananchi anayeweza "kuzuia" msafara wa hivi vi-local bourgeoisie. Nasema hakuna, huu ni ujinga na kukosa weledi wa kazi zao.

Huo ni mkusanyiko uliandaliwa na walivyo wajinga wanasahau kuhusu kuchukua tahadhari ya Covid 19
Povu ruksa
Unaumia ukiwa burundi pande zipi?
 
View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.

My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
Maza hajangundua huyu jamaa, 2025 anachukua fomu. Ndio zake hizo . Chezea mla Maksai
 
View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.

My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
Watu wa Tunduma hawawezi kushabikia upumbavu...hoa ni mapandikizi...uwezo wa kufikiri wa huyu Waziri ni wa chini sana
 
ameanza kampeni! 😄😄
mwambieni aendeleze unafiki, korona itamnyemelea muda si mrefu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Huyu mtu ni hatari sana ná kuna dalili kwamba samia anamuogopa huyu ndiyo sababu hajampiga chini baada ya kuvurunda kwenye bajeti.
View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.

My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
 
View attachment 1866636
Wananchi wenye mabango Tunduma mkoani Songwe wamezuia msafara wa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Nchemba, wakiitaka serikali kudhibiti ukusanyaji wa kodi ili kupata fedha nyingi zitakazosaidia kukamilisha miradi ya maendeleo.

My Take
Haya ni maigizo kama maigizo mengine,maigizo yenye lengo la kujipigia debe kuelekea 2025.
Kwamba Mh. Rais anasema tozo zipitiwe upya, waziri mkuu anasema kuna team ina shughulikia. Mwigulu ana honga watu pesa waonyeshe mabango??
Hivi hiki kiburi Mwigulu ana pata wapi???. Hii ni hujuma kwa serikali ya Mama Samia. Mwigulu must goooooo home
 
Kichekesho hiki yaani watu wajazane bila kuhofia korona ili kimuona waziri wa tozo & makato

Kama anataka kutumia hilo kusanyiko kumtisha yule mama mvaa ushungi naona hilo halitamsaidia
Mwigulu linawaza urais tu,jitu katili Hilo Nani wakumchagua
 
Back
Top Bottom