Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Hapo mwanzo sikuwa nikifahamu kuwa kaka yetu STEPHEN NYERERE yupo CCM Lakini imethibitika Leo pale alipokuwa akichukua fomu za kugombea nafasi ya kamati kuu ya Chama hicho wilaya ya kinondoni. Ushauri wa bure ninaoweza kumpa ni kwamba aachane na Chama ambacho hakijaleta mabadiliko coyote tokea kichaguliwe kwa mbwembwe zote mwaka 2005 kwa ahadi hewa za ARI NGUVU NA KASI MPYA but nothing doing!!?? Mwaka 2010 ARI NGUVU KASI ZAIDI Still nothing!!??
Steve wewe ni kijana bado unganika na vijana wenzako kulikomboa taifa hili...
Another TRAGEDY OF MISCALCULATION, kazi ipo!