misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,641
- 9,337
Mmh!I think huu ni wivu wa watoto wa kike
Why don't you mind your own business,
Kama Zito na seif watapishana na kugombana I think hiyo ni business yao sio yako
Ww uko ccm then concentrate huko
Umesahau walivyogombana ccm vs lowassa, ccm vs Membe etc cdm, ACT waliongelea pia.
Siasa za Afrika zilizovyo kusema mabaya kule ulipotoka hamna cha kushangaa hapo