Mwezi wa sita namaliza diploma yangu ya maendeleo ya jamii nahitaji kazi yoyote ya ofisini hata kama nitalipwa laki 1

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,631
Habari wapendwa,
Mwezi huu wa sita nahitimu diploma yangu ya maendeleo ya jamii tayari nina certificate ya maendeleo ya jamii
Ninahitaji kazi yoyote ile ya ofisini iwe government au NGO's
Nataka niifanye kwa miezi 3 au minne

Hata nikilipwa laki moja au chini ya hapo ni sawa tu
Lengo langu niweze kulipa pango la nyumba na kula basi

Nipo arusha. Kiukweli sina wa kumtegemea hapa napambana mwenyewe kila kitu mwanzo mwisho

Nina miaka 21 naishi Arusha
Nitakua tayari kuianza mwezi wa ssaba tarehe 1
Yoyote yule atakayeweza kuniajiri au kunisaidia

Natanguliza shukurani,za dhati

Asanteni sana,
Mungu awabariki.
 
Nawaonea huruma sana wadogo zangu wanaomaliza vyuo siku hizi jinsi wanavyosota mtaani kutafuta ajira...by the way kila la kheri...!!
 
mwaka huu zimetoka nafasi za watendaji wa kijiji zaidi ya 1000 wilaya tofauti tofauti.. na sifa kuu ilikuwa uwe na certificate ya moja ya fani ya maendeleo ya jamii na mshahara ni 399,000Tsh. najua changamoto kubwa ni nauli ya kwenda huko mikoani kufanya usahili .
japo si lazima uwende wilaya zote.
 
mwaka huu zimetoka nafasi za watendaji wa kijiji zaidi ya 1000 wilaya tofauti tofauti.. na sifa kuu ilikuwa uwe na certificate ya moja ya fani ya maendeleo ya jamii na mshahara ni 399,000Tsh. najua changamoto kubwa ni nauli ya kwenda huko mikoani kufanya usahili .
japo si lazima uwende wilaya zote.
Zimetoka mwezi gani mkuu??
 
nafasi kila siku zinatoka muhimu uwe updated .. kwenye blog za ajira na magazeti hata humu jamii forums nafasi za kazi na tenda.
Shida kubwa ni kwamba, zaidi ya 80% ya ajira zinazotangazwa huwa sio halisia, nyingi ni fake, geresha, marudio na formality tu.
Kama huamini jaribu kufuatilia.
 
Habari wapendwa,
Mwezi huu wa sita nahitimu diploma yangu ya maendeleo ya jamii tayari nina certificate ya maendeleo ya jamii
Ninahitaji kazi yoyote ile ya ofisini iwe government au NGO's
Nataka niifanye kwa miezi 3 au minne

Hata nikilipwa laki moja au chini ya hapo ni sawa tu
Lengo langu niweze kulipa pango la nyumba na kula basi

Nipo arusha. Kiukweli sina wa kumtegemea hapa napambana mwenyewe kila kitu mwanzo mwisho

Nina miaka 21 naishi Arusha
Nitakua tayari kuianza mwezi wa ssaba tarehe 1
Yoyote yule atakayeweza kuniajiri au kunisaidia

Natanguliza shukurani,za dhati

Asanteni sana,
Mungu awabariki.
Nimejaribu kusoma maelezo yako kwa kina na nimeweza kugundua haya.
1/Ulienda chuo kusoma kichwa kichwa. Haukuwa focus kabisa. Na hili ni tatizo kwa karibu 90% ya wasomi hapa Tanzania.

2/Elimu uliyoipata chuoni imeshindwa kukukomboa kifikra kuhusu kujikwamua kimaisha hivyo bado unahitaji mtu mwingine wa kukukomboa.

3/Umekuwa mwepesi wa kusoma alama za nyakati kuhusu hatma yako kimaisha baada ya kumaliza chuo. Hilo ni jambo jema sana kwa kijana. Ninakupa hongera, maana vijana wengi wa sasa waliopo chuoni hawajitambui kabisa.

4/Vijana wengi wasomi wanaposhindwa kupata Ajira mara baada ya kuhitimu masomo yao hurudi kukimbilia kusoma zaidi huku wakidhania kuwa kusoma zaidi kutawakwamua kiajira na mwisho wa siku hali huwa mbaya zaidi.

Natamani kupata majibu sahihi kuhusu maswali haya machache kutoka kwa mleta mada.

-Umewezaje kujilipia Ada ya chuoni na kuweza kujikimu ukiwa chuoni kwa kipindi chote hicho, lakini hapo hapo utashindwa kujikimu kwa muda mfupi baada ya kumaliza chuo wakati unasaka Ajira mpaka ukaomba msaada?

-Wakati wowote ulipokuwa unasoma kozi hiyo kuanzia ngazi ya cheti mpaka diploma ulikuwa unawaza nini kuhusu hatma yake kiajira?
 
nafasi kila siku zinatoka muhimu uwe updated .. kwenye blog za ajira na magazeti hata humu jamii forums nafasi za kazi na tenda.
Tatizo la hizo nafasi zinazotangazwa mara kwa mara nyingi sio halisia. Ukichunguza sana utagundua nyingi ni hewa, fake, marudio, geresha na formality tu.
Jaribu kufuatilia kwa kina utagundua hilo.

Yote kwa yote, hata kama zipo Ajira za kweli zinazotangazwa bado wahitaji wa Ajira ni wengi kupita maelezo, yaani ni kama kucheza Biko au tatu mzuka. Yaani ukiachilia mbali wale waliomaliza chuo lakini bado hawajapata Ajira, na wengine wengi wameajiriwa lakini wanatafuta kuajiriwa upya sehemu nyingine hivyo nao watatuma maombi kuomba hizo Ajira.
 
Laki moja kwa mwezi!?

Kuna wakati nilisoma andiko moja humu mtu akichambua jinsi waosha magari wanavyopiga mpunga mrefu - akiwacompare na bank tellers. Wengi ni Std7 failures na mitaji yao ni nauli ya daladala kwenda town, ndoo na sabuni. We need to change our thinking aisee.

Huwezi kukaa darasani zaidi ya miaka miwili harafu uje kutafuta kazi ya laki moja kwa mwezi. Hii hata mbeba zege, mkaanga vitumbua etc anaweza kuipata. Kung'ang'ania kazi ya kuajiriwa ofisini ni "utumwa" flani, sorry to say this.
 
Nimejaribu kusoma maelezo yako kwa kina na nimeweza kugundua haya.
1/Ulienda chuo kusoma kichwa kichwa. Haukuwa focus kabisa. Na hili ni tatizo kwa karibu 90% ya wasomi hapa Tanzania.

2/Elimu uliyoipata chuoni imeshindwa kukukomboa kifikra kuhusu kujikwamua kimaisha hivyo bado unahitaji mtu mwingine wa kukukomboa.

3/Umekuwa mwepesi wa kusoma alama za nyakati kuhusu hatma yako kimaisha baada ya kumaliza chuo. Hilo ni jambo jema sana kwa kijana. Ninakupa hongera, maana vijana wengi wa sasa waliopo chuoni hawajitambui kabisa.

4/Vijana wengi wasomi wanaposhindwa kupata Ajira mara baada ya kuhitimu masomo yao hurudi kukimbilia kusoma zaidi huku wakidhania kuwa kusoma zaidi kutawakwamua kiajira na mwisho wa siku hali huwa mbaya zaidi.

Natamani kupata majibu sahihi kuhusu maswali haya machache kutoka kwa mleta mada.

-Umewezaje kujilipia Ada ya chuoni na kuweza kujikimu ukiwa chuoni kwa kipindi chote hicho, lakini hapo hapo utashindwa kujikimu kwa muda mfupi baada ya kumaliza chuo wakati unasaka Ajira mpaka ukaomba msaada?

-Wakati wowote ulipokuwa unasoma kozi hiyo kuanzia ngazi ya cheti mpaka diploma ulikuwa unawaza nini kuhusu hatma yake kiajira?
Maswali fikirishi...
Usiishie kuuliza maswali angalia namna ya kumsaidia.
 
Laki moja kwa mwezi!?

Kuna wakati nilisoma andiko moja humu mtu akichambua jinsi waosha magari wanavyopiga mpunga mrefu - akiwacompare na bank tellers. Wengi ni Std7 failures na mitaji yao ni nauli ya daladala kwenda town, ndoo na sabuni. We need to change our thinking aisee.

Huwezi kukaa darasani zaidi ya miaka miwili harafu uje kutafuta kazi ya laki moja kwa mwezi. Hii hata mbeba zege, mkaanga vitumbua etc anaweza kuipata. Kung'ang'ania kazi ya kuajiriwa ofisini ni "utumwa" flani, sorry to say this.
Hayo ndio matokeo ya kwenda shule kukua tu. 100,000 Kweli ??????
 
Pesa ipo mtaani jamani,,wew nakushauri tafuta tu channel na kama huna uwezo huo ,jichanganye vijiweni na wana huku ukiwa na malengo utatoboa tu. ,
 
mwaka huu zimetoka nafasi za watendaji wa kijiji zaidi ya 1000 wilaya tofauti tofauti.. na sifa kuu ilikuwa uwe na certificate ya moja ya fani ya maendeleo ya jamii na mshahara ni 399,000Tsh. najua changamoto kubwa ni nauli ya kwenda huko mikoani kufanya usahili .
japo si lazima uwende wilaya zote.
Hiyo laki 399000 ni baada ya makato yote au kabla ya makato?
 
Nimejaribu kusoma maelezo yako kwa kina na nimeweza kugundua haya.
1/Ulienda chuo kusoma kichwa kichwa. Haukuwa focus kabisa. Na hili ni tatizo kwa karibu 90% ya wasomi hapa Tanzania.

2/Elimu uliyoipata chuoni imeshindwa kukukomboa kifikra kuhusu kujikwamua kimaisha hivyo bado unahitaji mtu mwingine wa kukukomboa.

3/Umekuwa mwepesi wa kusoma alama za nyakati kuhusu hatma yako kimaisha baada ya kumaliza chuo. Hilo ni jambo jema sana kwa kijana. Ninakupa hongera, maana vijana wengi wa sasa waliopo chuoni hawajitambui kabisa.

4/Vijana wengi wasomi wanaposhindwa kupata Ajira mara baada ya kuhitimu masomo yao hurudi kukimbilia kusoma zaidi huku wakidhania kuwa kusoma zaidi kutawakwamua kiajira na mwisho wa siku hali huwa mbaya zaidi.

Natamani kupata majibu sahihi kuhusu maswali haya machache kutoka kwa mleta mada.

-Umewezaje kujilipia Ada ya chuoni na kuweza kujikimu ukiwa chuoni kwa kipindi chote hicho, lakini hapo hapo utashindwa kujikimu kwa muda mfupi baada ya kumaliza chuo wakati unasaka Ajira mpaka ukaomba msaada?

-Wakati wowote ulipokuwa unasoma kozi hiyo kuanzia ngazi ya cheti mpaka diploma ulikuwa unawaza nini kuhusu hatma yake kiajira?
sawa mkuu
 
Back
Top Bottom