Mwezi wa RAMADHANI ndio umefika ila please tuvumiliane

Samahani nnatoka nje ya Mada kuna kitu sijaelewa kuhusu hyo kwa resma Mimi nimuislam katika dini yetu kufunga mwez wa Ramadhan ni lazima na asilimia kubwa wanafunga na wasiofunga huwa hata kula kwao wanajificha sana lakini sijaelewa funga yenu ndugu zetu Christians je pia ni lazima au mtu akiamua tu mwenyewe kufunga akitaka hafungi.
We jiulze kwann unafunga ndo utajua kufunga ni hiyar au shurti.
 
Hata nyinyi pia mmekatazwa kula nguruwe Sema tu uroho wenu na kutofuata kitabu chenu wenyewe soma katika agano la kale walawi 11:7-8 inasema nguruwe msimle anakwato zilizogawanyika lakini pia hacheui kwenu ni najisi msile nyama yao Wala msiguse mizoga yao
We muheshimiwa kwan Bible sio kitabu chenu?
 
Endelea tu kula nguruwe maana unajitoa tu ufahamu nimekupa hadi Hayo ambazo zipo kwenye bibble ambazo zilikuwepo tangu agano LA kale na yesu akasema hakuja kutengua sheria zilizokuwepo kabla yake Bali kuzikamilisha na moja wapo ni hyo Hakuna kula nguruwe ni najisi unajifanya Huelewi,ww endelea kula nguruwe simmezoea kupinga vitabu vyenu
Nyie jamaa weny bachelor degree of quran(5yrs) mnakuwaga na vichwa ngumu nyie.
 
Back
Top Bottom