Mwezi mmoja ni wa dalali, madalali hii tabia mmeitoa wapi?

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,583
4,615
Yaani madalali wa siku hizi eti akikutafutia nyumba anakwambia umpe mwezi mmoja wake

Mfano appartment ya laki 1 na 50 kwa mwezi anataka umpe laki 1 na 50 kama malipo...hapo kukutembeza kwenye nyumba ni elfu 20

Yaani mfano unatafuta nyumba ya kodi ya laki 2 jiandae kuweka laki mbili ya dalali juu na elfu 20 ya kukutembeza kwenye nyumba

Hawa ndo madalali bwana jee hii ni sawa??hapana huu ni unyonyaji anaepaswa kumlipa dalali ni mwenye nyumba sio mteja.

Nisameheni sana madalali ila ndo ukweli huo
 
Kwa nchi za wenzetu , udalali ni kazi official kama kazi nyingine inayotambulika , husajiliwa na kutoa huduma kwa usawa kabisa , bila kumuumiza mwenye mali.

Madalali ambao ni matapeli na wahovyo sana ni hawa wa nyumba , viwanja /mashamba na mazao ya kilimo.

Madalali wa mazao ya kilimo ni wanyonyaji sana kwa wakulima. Hupanga bei wao.


Wanakwenda shambani kupanga bei wao as if wamelima wao , mnunuzi anapokuja wanamdaka sana juu kwa juu. Mkulima ni vigumu sana kumwona tajiri , wao ndo wao tu.

Kuna mahali nilinunua kiwanja, baadae nikaja kusikia pesa aliyopiga dalali ni ndefu sana.

Madalali hula pesa ya bure.

Ni watu wa hovyo sana hawa , matapeli wakubwa.

Pls share utapeli wa madalali.
 
Mimi natafuta nyumba mguu kwa mguu hadi napata

Nikishindwaga namwambiaga dalali mapema

Bwana nina 20k nataka untafutie nyumba ya 100k

Akiona dharau shauri ake akiona inamfaaa atantafutia

wengi watajitia kukataa ila we waachie namba ya simu

utaona tu kameseji "mkuu vipi ile nyumba bado unatafuta" (hapo unajua ndege kashanasa huyo)
 
Yaani madalali wa siku hizi eti akikutafutia nyumba anakwambia umpe mwezi mmoja wake

Mfano appartment ya laki 1 na 50 kwa mwezi anataka umpe laki 1 na 50 kama malipo...hapo kukutembeza kwenye nyumba ni elfu 20

Yaani mfano unatafuta nyumba ya kodi ya laki 2 jiandae kuweka laki mbili ya dalali juu na elfu 20 ya kukutembeza kwenye nyumba


Hawa ndo madalali bwana jee hii ni sawa??hapana huu ni unyonyaji anaepaswa kumlipa dalali ni mwenye nyumba sio mteja....

Nisameheni sana madalali ila ndo ukweli huo
Huo utoto sifanyi, kuna dalali nilimpa kazi nikatia wese kwa boda boda yake siku 2 anizungushe kucheki nyumba.

Nilifanikiwa kupata mjengo kwa 150k, nikamshikisha hela nusu landlord nikamwambia siku nakuja hamia nitamalizia nusu. Hio siku nawasili kukatokea zali kumbe nyumba ile jamaa alipokea hela mara 2...ikabidi anifaulishe tu kwenye nyumba ya 250k kwa kodi ya 200k nikaongezea hela kidogo nikaingia.

Ishu ikaja kwa dalali baada ya kujua nimelipia tayari akadai nimpe hela ya mwezi mzima nikawaza nampaje mtu 150k usawa huu? Nilichofanya nikamshikisha 50k kisha nikamsokota anicheki baada ya siku 10 hivi nimalizie hela. Zilipofika akaanza sumbua nikamtia block tu maana hakukuwa na namna.
 
Huo utoto sifanyi, kuna dalali nilimpa kazi nikatia wese kwa boda boda yake siku 2 anizungushe kucheki nyumba.

Nilifanikiwa kupata mjengo kwa 150k, nikamshikisha hela nusu landlord nikamwambia siku nakuja hamia nitamalizia nusu. Hio siku nawasili kukatokea zali kumbe nyumba ile jamaa alipokea hela mara 2...ikabidi anifaulishe tu kwenye nyumba ya 250k kwa kodi ya 200k nikaongezea hela kidogo nikaingia.

Ishu ikaja kwa dalali baada ya kujua nimelipia tayari akadai nimpe hela ya mwezi mzima nikawaza nampaje mtu 150k usawa huu? Nilichofanya nikamshikisha 50k kisha nikamsokota anicheki baada ya siku 10 hivi nimalizie hela. Zilipofika akaanza sumbua nikamtia block tu maana hakukuwa na namna.

Ukiwaambia wajisajiri walipe kodi hawataki!, hawa nao wanaiibia serikali!
 
Mimi natafuta nyumba mguu kwa mguu hadi napata

Nikishindwaga namwambiaga dalali mapema

Bwana nina 20k nataka untafutie nyumba ya 100k

Akiona dharau shauri ake akiona inamfaaa atantafutia

wengi watajitia kukataa ila we waachie namba ya simu

utaona tu kameseji "mkuu vipi ile nyumba bado unatafuta" (hapo unajua ndege kashanasa huyo)
Mkuu,

Hii ya kutafuta nyumba mguu kwa mguu nd'o staili yangu hii.
 
Huo utoto sifanyi, kuna dalali nilimpa kazi nikatia wese kwa boda boda yake siku 2 anizungushe kucheki nyumba.
Nilifanikiwa kupata mjengo kwa 150k, nikamshikisha hela nusu landlord nikamwambia siku nakuja hamia nitamalizia nusu. Hio siku nawasili kukatokea zali kumbe nyumba ile jamaa alipokea hela mara 2...ikabidi anifaulishe tu kwenye nyumba ya 250k kwa kodi ya 200k nikaongezea hela kidogo nikaingia.
Ishu ikaja kwa dalali baada ya kujua nimelipia tayari akadai nimpe hela ya mwezi mzima nikawaza nampaje mtu 150k usawa huu? Nilichofanya nikamshikisha 50k kisha nikamsokota anicheki baada ya siku 10 hivi nimalizie hela. Zilipofika akaanza sumbua nikamtia block tu maana hakukuwa na namna.
madalali wasengerema tu hawafai
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom