Mwezi mmoja ni wa dalali, madalali hii tabia mmeitoa wapi?

Umejibu kwa weledi wa hali ya juu kabisa.

Kila sehemu kuna madalali, taarifa zinauzwa.

Hakuna wakati mtu anaweza akawa anajua kila kitu au akapata muda wa kufuatilia kila kitu.

Tuache kudharau kazi za watu. Kutomlipa dalali ni utapeli, haina tofauti na mtu akudhulumu baada ya kumfanyia kazi.

Tuheshimu kazi za watu.
Vizuri mkuu ,Naunga mkono hoja , yaani unakubaliana na mtu akutafutie sehemu ya kuishi alafu unamkimbia ?ni dhuluma,hora Ku bargain!!!!!
 
Huwezi Fanya kila kitu kwenye dunia hii,vingine waachie wenye fani.

Kama unalipa kodi ya mwaka mil 12 ,utashindwaje kumpa Dalali laki 5 basi?au mil 1 ?
Tatizo siyo kumpa, tatizo ni kumpa just FREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Wale madalali wa ma**ya nao wangekuwa wanaomba goli moja wasuuzwe wao kwanza
 
Binafsi sikupangishi kama hujaletwa na dalali,nyinyi mnawachukulia poa ila ni kiungo muhimu baina ya mpangaji na mwenye nyumba.Na madalali hawajaanza leo kulipwa kodi yao ya mwezi mmoja.
 
Tatizo siyo kumpa, tatizo ni kumpa just FREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Kama ni free ,why ulimtafuta ,kwanini usiende kwenye nyumba mwenyewe?

Naomba nipe logic ya dar es salaam stock exchange au insurance brockers kuchukua commission !why usiende mwenyewe kununua hisa au kukata bima ......why tusiwe tunaenda direct ofisini? .

Huwezi uza na kununua hisa bila Dalali , 2% commission

NB:Serikali ikiregulate hawa ,commission ya Dalali itakuwa included kwenye kodi bila kujua ,kupunguza makali.

MF . kodi 500,000 Kwa mwezi mil 6 Kwa mwaka itakuwa Kwa mwezi 550,000
 
Ile fedha ya kumpa dalali inauma sana. Yaani ni kama bure tu. Mtu kakupeleka nyumba mbili tatu tu afu anataka umpe malaki!
Dalali Hana Mtaji. Capital ya Dalali hutoka Kwa wenye shida ya Nyumba za kupanga.
 
Principal za economics si lazima zote zitoke vitabuni
Uvivu wa kutafuta info ndiyo huo uulipie hiyo kodi ya mwezi.
Kuna wakati nakumbuka niligoma kumpatia dalali hela yake....aisee nilijuta huo usumbufu...hujatoka ndani kwenda job kafika, ukirudi unamkuta getini...afu wana umoja wa ajabu...
 
Ni dhulma kubwa sana, nakumbuka sana fedha zangu ambazo niwalipa madalali...
Kuna nyumba nilihamia baada ya kumlipa dalali akagawana na wapangaji wenzangu niliowakuta
 
Wewe ni mpumbavu.
Unatetea dhuluma, utapeli na wizi unaofanywa na madalali wa bongo.

Shemeji yako ni dalali ama? Kwamba unaogopa dada yako atalala njaa!!!
:rolleyes: :rolleyes: :mad::mad:
Aisee....Mimi naona ni haki Dalali alipwe hela yake.. au tafuta nyumba mwenyewe
 
Yaani madalali wa siku hizi eti akikutafutia nyumba anakwambia umpe mwezi mmoja wake

Mfano appartment ya laki 1 na 50 kwa mwezi anataka umpe laki 1 na 50 kama malipo...hapo kukutembeza kwenye nyumba ni elfu 20

Yaani mfano unatafuta nyumba ya kodi ya laki 2 jiandae kuweka laki mbili ya dalali juu na elfu 20 ya kukutembeza kwenye nyumba

Hawa ndo madalali bwana jee hii ni sawa??hapana huu ni unyonyaji anaepaswa kumlipa dalali ni mwenye nyumba sio mteja.

Nisameheni sana madalali ila ndo ukweli huo
Sasa jamani mnataka muwalipe sh. ngapi? Mbona mi naona fair tu kama kakupatia nyumba unayoielewa..
 
Back
Top Bottom