Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,200
- 3,008
Moja kwa moja kwenye hoja
Tarehe 12/10/2021 , ni hukumu ya Kesi Kati ya Musiba na Benard Membe,,ikiwa Musiba atakutwa na hatia, itakuwa funzo kwa watu wengine kutukana watu kwa kuwa Wana backup ya mtu mkubwa.
Tarehe 15/10/2021, Ni hukumu ya Sabaya,Kama Sabaya atafungwa itakuwa fundisho kwa vijana wenye mamlaka kutumia mamlaka yao vibaya.
Tarehe 19/10/2021,ni hukumu ya Kesi ndogo ya Freeman Mbowe, Kama Mbowe na wenzake wakishinda kesi Basi itakuwa fundisho kwa polisi kutesa watu kwa sababu za kubumba.
Huu mwezi Kuna watu watanuna na kucheka kutokana na hizo hukumu
Tarehe 12/10/2021 , ni hukumu ya Kesi Kati ya Musiba na Benard Membe,,ikiwa Musiba atakutwa na hatia, itakuwa funzo kwa watu wengine kutukana watu kwa kuwa Wana backup ya mtu mkubwa.
Tarehe 15/10/2021, Ni hukumu ya Sabaya,Kama Sabaya atafungwa itakuwa fundisho kwa vijana wenye mamlaka kutumia mamlaka yao vibaya.
Tarehe 19/10/2021,ni hukumu ya Kesi ndogo ya Freeman Mbowe, Kama Mbowe na wenzake wakishinda kesi Basi itakuwa fundisho kwa polisi kutesa watu kwa sababu za kubumba.
Huu mwezi Kuna watu watanuna na kucheka kutokana na hizo hukumu