Sammo Hung
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,142
- 1,302
Huyu wa kulia nahisi hawezi nyolea maana hana nywele kichani
Akinyolewa ndevu pia itapendeza zaidi.Huyu wa kulia nahisi hawezi nyolea maana hana nywele kichani
Nikweli mkuu ila mara nyingi aliyeshika mpini anajisahau akidhani atashika milele..Hakuna refu lisilokua na mwisho mkuu
Kwanini mkuu?Hao jamaa naomba wauwawe
DictatorsKwanini mkuu?
Huyu wa kwetu hana haja ya kuambikizwa. Akitawala miaka mitano ni sawa kabisa na hao wengine kutawala miaka hamsini
Nahisi watamwambukiza hata huyu Wa kwetu.. Maana hao wote ving'ang'anizi
Awe makini asije akaponzwa na maneno yake, kila mjanja ana mjanja wakeHuyu wa kulia alitoa angalizo mapema "anaye taka hii nchi aende msituni mimi niliikuta huko" yuko vizuri hatishwi
Ha ha ha ha aaaaa.. mkuu umefikiria mbali sana.
Nahisi watamwambukiza hata huyu Wa kwetu.. Maana hao wote ving'ang'anizi
Duuuuuh...Dictators
Tayali kaisha nyolewa bado kufanyiwa scrub na maskHuyu wa kulia nahisi hawezi nyolea maana hana nywele kichani
Huyu wa kwetu hana haja ya kuambikizwa. Akitawala miaka mitano ni sawa kabisa na hao wengine kutawala miaka hamsini