Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,222
- 36,238
Kuna binadamu alinifanyia kwazo la hali ya juu, nikavunja mahusiano nae.
Kiukweli nimemsamehe ila kumbukumbu haijafutika, nikimuona sisikii hasira au uchungu ila sitaki mazoea zaidi ya salamu.
Bora mtu acheze na mali zangu kuliko acheze na maisha yangu, pesa inatafutwa ila maisha yakipita hayajirudii hasa muda na umri.