Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
SijuiSasa umeshajua Uzi ni wa Kipuuzi lakini bado umeweza Kuusoma Wote na mpaka kupata muda wa Kuujibu je, nikisema unaugua Uwendawazimu halafu pia ni Mpumbavu nitakuwa nakosea?
SijuiSasa umeshajua Uzi ni wa Kipuuzi lakini bado umeweza Kuusoma Wote na mpaka kupata muda wa Kuujibu je, nikisema unaugua Uwendawazimu halafu pia ni Mpumbavu nitakuwa nakosea?
Hajakosea, ulitakiwa uwe specific katika hayo makundi kwamba yanawahusu waliopitia chuo kikuu tu lakini wewe ume generalize alafu hutaki criticism unajiona ndugu yake na yesu?Pumbavu acha Kunipangia nini cha Kufanya na kwa Mtu aliyepita Chuo Kikuu ukiandika tu GPA anaelewa na wala hakuna haja ya kuja na hizi Shobo na Sifa zako za Kishamba na Kijuha ulizozionyesha hapa.
Nenda kwa wanajimu,wazee wa kusoma na kusafisha nyota.Sisi wenye darasa la saba hatuna GPA tunafanyaje kujua kundi letu?
Samahani sana GENTAMYCINEPumbavu acha Kunipangia nini cha Kufanya na kwa Mtu aliyepita Chuo Kikuu ukiandika tu GPA anaelewa na wala hakuna haja ya kuja na hizi Shobo na Sifa zako za Kishamba na Kijuha ulizozionyesha hapa.
Yangu hiyo #3 Mkuu. Hongera kwa hilo.Leo nimepanda dala dala bila kulipa nauli sijui niko namba ngapi
Elimu ni kile kinachobaki kichwan na kina kuwa na impact kwa jamii sasa ukisema Degree ya Saut na yenyewe unajivunia unakuwa unakosea kana kwamba ni chuo kisichokidhi viwango na kupewa usajiri mfano mdogo 70% ya Maafisa habari wa Serikali wametokea chuo cha Saut waliosoma Mass Communication au Public Relations & Marketing! kwa hiyo mtu aliyesoma chuo chochote hapa Tanzania kilicho chini ya TCU au NACTE bado wote wana nafasi sawa kabisa!Degree ya sauti na yenyewe mnajivunia ??
Huu mchango wako ndugu GUSSIE ,unafaa uwekwe kwenye fremu na uwe maofisini pembeni ya picha Mh. Rais.OK noted
Siamini unachokiongea kabisa, Unaongelea chuo gani hapa Tanzania?
University of Dar es Salaam ( Udsm) mwaka 2004 mpaka 2006 bila Division one ya Point 8 Form Six na Division one Form 4 kusoma Bachelor of commerce ilikuwa hupati nafasi, Wanaume waliosoma kwa Div one ya point tisa ni wale waliofaulu sana Matriculation Exam
Chuo watu wanasoma kwa semister na matokeo hutolewa mwishoni
Mfano kuna Jamaa ana GPA
First year 4.5
Second year 4.7
Third year ana GPA 2.9
Kwa huyo Jamaa unaweza sema hana akili au
GPA sio kipimo cha uwezo wa mtu
Uwezo wa Mtu unapimwa kwa mchango wake alioacha kuendeleza Taifa
Barack Obama ni Professor na amefundisha sana hata siku moja hajajiita Professor wa Sheria
GPA ni upumbavu wa Tanzania tu
Mimi nina watoto hata siku moja sikuwapima kwa wastani au GPA kubwa
Unaweza ukawa na GPA ya 5. 0 umesoma St Augustine University na watu waliokotwa baada ya kukosa nafasi Udsm plus wote mpo class Sekondari wote mlipata Division 3 au aliyejitahidi Div 2
Unaweza ukawa na GPA ya 2.8 Harvard University umesoma Space Engineering na Unafanya kazi shirika la anga la NASA unarusha rocket angani huyo wa udsm ana GPA ya 4.8 hana lolote hata Practical hajafanya
Fuatilia waliogundua chanjo za Corona uone
Hapo Muhimbili University watu wana GPA hawajui kitu wanasubiri mabeberu wawasaidie na GPA zao za Kawaida sana
Mgunduzi wa Facebook au Microsoft hata waliacha shule
Lakini wanaitwa kwenye Graduation za Harvard kutoa midahalo na wamepewa Degree bila kusoma darasan
Professor Bongo hata kutengeneza kibatali hawezi
Jaji wa Bongo mmmmh......
Jaji Bongo anasema najitoa kwenye kesi Halafu muda wa kukamata ni masaa manne, Baadae pingamizi halina mashiko
Shameless Elimu ya Tanzania
Nilipita Udsm kusoma wakati fulani Masters
Professor pale alikuwa Mark Mwandosya na Mathew luhanga
Na Dakatari alikuwa Dkt Mussa Juma Assad
Udsm nzima walimu waliokuwa wanajua Practical ni Dkt Assad ambaye alikuja kuwa CAG
Mark Mwandosya na Mathew luhanga, Wengine wote ni utopolo tu
Sijawahi ona mtu wa hovyo km wewe huna msaada wowote ktkt jamii yetu. Yote uliyoyaongea ni uongo mtupuOK noted
Siamini unachokiongea kabisa, Unaongelea chuo gani hapa Tanzania?
University of Dar es Salaam ( Udsm) mwaka 2004 mpaka 2006 bila Division one ya Point 8 Form Six na Division one Form 4 kusoma Bachelor of commerce ilikuwa hupati nafasi, Wanaume waliosoma kwa Div one ya point tisa ni wale waliofaulu sana Matriculation Exam
Chuo watu wanasoma kwa semister na matokeo hutolewa mwishoni
Mfano kuna Jamaa ana GPA
First year 4.5
Second year 4.7
Third year ana GPA 2.9
Kwa huyo Jamaa unaweza sema hana akili au
GPA sio kipimo cha uwezo wa mtu
Uwezo wa Mtu unapimwa kwa mchango wake alioacha kuendeleza Taifa
Barack Obama ni Professor na amefundisha sana hata siku moja hajajiita Professor wa Sheria
GPA ni upumbavu wa Tanzania tu
Mimi nina watoto hata siku moja sikuwapima kwa wastani au GPA kubwa
Unaweza ukawa na GPA ya 5. 0 umesoma St Augustine University na watu waliokotwa baada ya kukosa nafasi Udsm plus wote mpo class Sekondari wote mlipata Division 3 au aliyejitahidi Div 2
Unaweza ukawa na GPA ya 2.8 Harvard University umesoma Space Engineering na Unafanya kazi shirika la anga la NASA unarusha rocket angani huyo wa udsm ana GPA ya 4.8 hana lolote hata Practical hajafanya
Fuatilia waliogundua chanjo za Corona uone
Hapo Muhimbili University watu wana GPA hawajui kitu wanasubiri mabeberu wawasaidie na GPA zao za Kawaida sana
Mgunduzi wa Facebook au Microsoft hata waliacha shule
Lakini wanaitwa kwenye Graduation za Harvard kutoa midahalo na wamepewa Degree bila kusoma darasan
Professor Bongo hata kutengeneza kibatali hawezi
Jaji wa Bongo mmmmh......
Jaji Bongo anasema najitoa kwenye kesi Halafu muda wa kukamata ni masaa manne, Baadae pingamizi halina mashiko
Shameless Elimu ya Tanzania
Nilipita Udsm kusoma wakati fulani Masters
Professor pale alikuwa Mark Mwandosya na Mathew luhanga
Na Dakatari alikuwa Dkt Mussa Juma Assad
Udsm nzima walimu waliokuwa wanajua Practical ni Dkt Assad ambaye alikuja kuwa CAG
Mark Mwandosya na Mathew luhanga, Wengine wote ni utopolo tu