Mwenyezi Mungu anakuona sema Ukweli Wewe uko Kundi ( Daraja ) lipi ( gani ) hapa?

Pumbavu acha Kunipangia nini cha Kufanya na kwa Mtu aliyepita Chuo Kikuu ukiandika tu GPA anaelewa na wala hakuna haja ya kuja na hizi Shobo na Sifa zako za Kishamba na Kijuha ulizozionyesha hapa.
Hajakosea, ulitakiwa uwe specific katika hayo makundi kwamba yanawahusu waliopitia chuo kikuu tu lakini wewe ume generalize alafu hutaki criticism unajiona ndugu yake na yesu?
 
Degree ya sauti na yenyewe mnajivunia ??
Elimu ni kile kinachobaki kichwan na kina kuwa na impact kwa jamii sasa ukisema Degree ya Saut na yenyewe unajivunia unakuwa unakosea kana kwamba ni chuo kisichokidhi viwango na kupewa usajiri mfano mdogo 70% ya Maafisa habari wa Serikali wametokea chuo cha Saut waliosoma Mass Communication au Public Relations & Marketing! kwa hiyo mtu aliyesoma chuo chochote hapa Tanzania kilicho chini ya TCU au NACTE bado wote wana nafasi sawa kabisa!
 
OK noted

Siamini unachokiongea kabisa, Unaongelea chuo gani hapa Tanzania?

University of Dar es Salaam ( Udsm) mwaka 2004 mpaka 2006 bila Division one ya Point 8 Form Six na Division one Form 4 kusoma Bachelor of commerce ilikuwa hupati nafasi, Wanaume waliosoma kwa Div one ya point tisa ni wale waliofaulu sana Matriculation Exam

Chuo watu wanasoma kwa semister na matokeo hutolewa mwishoni

Mfano kuna Jamaa ana GPA

First year 4.5
Second year 4.7

Third year ana GPA 2.9

Kwa huyo Jamaa unaweza sema hana akili au

GPA sio kipimo cha uwezo wa mtu

Uwezo wa Mtu unapimwa kwa mchango wake alioacha kuendeleza Taifa

Barack Obama ni Professor na amefundisha sana hata siku moja hajajiita Professor wa Sheria

GPA ni upumbavu wa Tanzania tu

Mimi nina watoto hata siku moja sikuwapima kwa wastani au GPA kubwa

Unaweza ukawa na GPA ya 5. 0 umesoma St Augustine University na watu waliokotwa baada ya kukosa nafasi Udsm plus wote mpo class Sekondari wote mlipata Division 3 au aliyejitahidi Div 2

Unaweza ukawa na GPA ya 2.8 Harvard University umesoma Space Engineering na Unafanya kazi shirika la anga la NASA unarusha rocket angani huyo wa udsm ana GPA ya 4.8 hana lolote hata Practical hajafanya

Fuatilia waliogundua chanjo za Corona uone

Hapo Muhimbili University watu wana GPA hawajui kitu wanasubiri mabeberu wawasaidie na GPA zao za Kawaida sana

Mgunduzi wa Facebook au Microsoft hata waliacha shule

Lakini wanaitwa kwenye Graduation za Harvard kutoa midahalo na wamepewa Degree bila kusoma darasan

Professor Bongo hata kutengeneza kibatali hawezi

Jaji wa Bongo mmmmh......

Jaji Bongo anasema najitoa kwenye kesi Halafu muda wa kukamata ni masaa manne, Baadae pingamizi halina mashiko

Shameless Elimu ya Tanzania

Nilipita Udsm kusoma wakati fulani Masters

Professor pale alikuwa Mark Mwandosya na Mathew luhanga

Na Dakatari alikuwa Dkt Mussa Juma Assad

Udsm nzima walimu waliokuwa wanajua Practical ni Dkt Assad ambaye alikuja kuwa CAG

Mark Mwandosya na Mathew luhanga, Wengine wote ni utopolo tu
Huu mchango wako ndugu GUSSIE ,unafaa uwekwe kwenye fremu na uwe maofisini pembeni ya picha Mh. Rais.
Umeandika ukweli mtupu na hali halisi ya elimu ya Tanzania.
 
Viewers 1k then comments zipo page 2.
Mamaae kama ni gundu bc hii ni next level.
 
OK noted

Siamini unachokiongea kabisa, Unaongelea chuo gani hapa Tanzania?

University of Dar es Salaam ( Udsm) mwaka 2004 mpaka 2006 bila Division one ya Point 8 Form Six na Division one Form 4 kusoma Bachelor of commerce ilikuwa hupati nafasi, Wanaume waliosoma kwa Div one ya point tisa ni wale waliofaulu sana Matriculation Exam

Chuo watu wanasoma kwa semister na matokeo hutolewa mwishoni

Mfano kuna Jamaa ana GPA

First year 4.5
Second year 4.7

Third year ana GPA 2.9

Kwa huyo Jamaa unaweza sema hana akili au

GPA sio kipimo cha uwezo wa mtu

Uwezo wa Mtu unapimwa kwa mchango wake alioacha kuendeleza Taifa

Barack Obama ni Professor na amefundisha sana hata siku moja hajajiita Professor wa Sheria

GPA ni upumbavu wa Tanzania tu

Mimi nina watoto hata siku moja sikuwapima kwa wastani au GPA kubwa

Unaweza ukawa na GPA ya 5. 0 umesoma St Augustine University na watu waliokotwa baada ya kukosa nafasi Udsm plus wote mpo class Sekondari wote mlipata Division 3 au aliyejitahidi Div 2

Unaweza ukawa na GPA ya 2.8 Harvard University umesoma Space Engineering na Unafanya kazi shirika la anga la NASA unarusha rocket angani huyo wa udsm ana GPA ya 4.8 hana lolote hata Practical hajafanya

Fuatilia waliogundua chanjo za Corona uone

Hapo Muhimbili University watu wana GPA hawajui kitu wanasubiri mabeberu wawasaidie na GPA zao za Kawaida sana

Mgunduzi wa Facebook au Microsoft hata waliacha shule

Lakini wanaitwa kwenye Graduation za Harvard kutoa midahalo na wamepewa Degree bila kusoma darasan

Professor Bongo hata kutengeneza kibatali hawezi

Jaji wa Bongo mmmmh......

Jaji Bongo anasema najitoa kwenye kesi Halafu muda wa kukamata ni masaa manne, Baadae pingamizi halina mashiko

Shameless Elimu ya Tanzania

Nilipita Udsm kusoma wakati fulani Masters

Professor pale alikuwa Mark Mwandosya na Mathew luhanga

Na Dakatari alikuwa Dkt Mussa Juma Assad

Udsm nzima walimu waliokuwa wanajua Practical ni Dkt Assad ambaye alikuja kuwa CAG

Mark Mwandosya na Mathew luhanga, Wengine wote ni utopolo tu
Sijawahi ona mtu wa hovyo km wewe huna msaada wowote ktkt jamii yetu. Yote uliyoyaongea ni uongo mtupu
 
Back
Top Bottom