charlesfundi
Senior Member
- Jun 5, 2017
- 192
- 238
- Thread starter
- #21
Shukrani sana mkuu Niko nachimba hapa baadhi ya vitu ambavyo mkuu ameniainishia hapo juu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa soma hizo contents alizokupa mkuu hapo juu.
Kwa bahati mbaya mm ni mtu wa mechanical kwa hyo sitaweza kuzama sana kwenye electrics.
Ungekuwa ni mechanical ningekushauri njia za kupita.
But kwa uzoefu wangu na ninachojua tu wanapenda kuuliza maswali general/common concepts ambavyo vingine hukuviona kwenye modules za chuo na ndio maana mwanzoni kabisa nikakwambia hawapendi mtu anayekariri sana.
Coz wakati mwingine unaweza ukaulizwa kitu ambacho ulikisoma tangu form 1 na ulishakisahau siku nyingi Sasa hapo ndio itakubidi uwe na uwezo wa kujieleza au kuelezea kitu kwa maneno yako mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app