Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 581
- 642
Na Johnson Swai, USA RIVER
Mimi ni mwanachadema kindakindaki lakini siingia vikao vitukufu vya juu vya Chama hivyo leo nimeona nikuulize maswali haya 10 na wanachana wenzangu ili tuone kama wewe Mwenyekiti wetu unafaa uendelee tena au ndio chama chetu tuzidi kushindwa na CCM?
1. Miaka 20 Uenyekiti gani huu Ndugu Mbowe ina maana kwenye Chama hakuna wengine?
2. Kwa nini familia ya Chacha Wangwe na wanachama bado wanalia chini kwa chini kutokana na kifo cha utata cha Msaidizi wako huyo na kwa nini, tofauti na mengine, haujawahi kuomba wachunguzi wa kimataifa katika hili?
3. Kwa nini uongoze Chama huku kinanuka damu kinahusishwa na mambo ya kuumiza watu; rejea kujitoa kwa Zitto Kabwe akisema alitegeshewa mpaka sumu, mateso ya Kangezi yule Mlinzi wa Dkt. Slaa akiwa katika ofisi za Chama na wengineo?
4. Kwa nini Chama miaka 20 kinapanga kwenye kajumba kamtu kasiko na hadhi. Hii nyumba ni ya nani hasa na upeo wako ndio umeishia hapo?
5. Kwa nini katika miaka yako yote 20 haujawahi kuongoza maandamano wilayani Hai ambako ndiko ngome yako?
6. Kwa nini Chama hakitoi maelezo ya kutosha kuhusu matumizi ya ruzuku na wanachama wengi hadi wabunge wanalalamika?
7. Nataka unapoomba kura pia utusaidie kujua kama yale magari ya Chama yaliyonunuliwa na kuandikwa majina ya watu binafsi yamerudi na ni kina nani walifanya hivyo?
8. Tueleze hizi tuhuma za kupokea fedha za Lowassa zikoje, Je, fedha hizo ziko wapi na zilitumikaje?
9. Ni kweli kwamba umeshaingia dili lingine na Membe na ndio maana gazeti la familia yako, Tanzania Daima, siku hizi linamfagilia Membe kuliko hata chama chako na wewe binafsi?
10. Tuhuma za ukanda, ukabila na wabunge Viti Maalum kupitia mchakato wa kuvua chupi, ikiwemo wewe mwenyewe hadi kuzaa na baadhi ya wabunge wa Chama chako, haujawahi kukanusha wala kuzungumza chochote, unadhani bado una ushawishi wa kukiongoza chama chetu?
Naomba nisaidiwe kuuliziwa haya.
Asanteni
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mimi ni mwanachadema kindakindaki lakini siingia vikao vitukufu vya juu vya Chama hivyo leo nimeona nikuulize maswali haya 10 na wanachana wenzangu ili tuone kama wewe Mwenyekiti wetu unafaa uendelee tena au ndio chama chetu tuzidi kushindwa na CCM?
1. Miaka 20 Uenyekiti gani huu Ndugu Mbowe ina maana kwenye Chama hakuna wengine?
2. Kwa nini familia ya Chacha Wangwe na wanachama bado wanalia chini kwa chini kutokana na kifo cha utata cha Msaidizi wako huyo na kwa nini, tofauti na mengine, haujawahi kuomba wachunguzi wa kimataifa katika hili?
3. Kwa nini uongoze Chama huku kinanuka damu kinahusishwa na mambo ya kuumiza watu; rejea kujitoa kwa Zitto Kabwe akisema alitegeshewa mpaka sumu, mateso ya Kangezi yule Mlinzi wa Dkt. Slaa akiwa katika ofisi za Chama na wengineo?
4. Kwa nini Chama miaka 20 kinapanga kwenye kajumba kamtu kasiko na hadhi. Hii nyumba ni ya nani hasa na upeo wako ndio umeishia hapo?
5. Kwa nini katika miaka yako yote 20 haujawahi kuongoza maandamano wilayani Hai ambako ndiko ngome yako?
6. Kwa nini Chama hakitoi maelezo ya kutosha kuhusu matumizi ya ruzuku na wanachama wengi hadi wabunge wanalalamika?
7. Nataka unapoomba kura pia utusaidie kujua kama yale magari ya Chama yaliyonunuliwa na kuandikwa majina ya watu binafsi yamerudi na ni kina nani walifanya hivyo?
8. Tueleze hizi tuhuma za kupokea fedha za Lowassa zikoje, Je, fedha hizo ziko wapi na zilitumikaje?
9. Ni kweli kwamba umeshaingia dili lingine na Membe na ndio maana gazeti la familia yako, Tanzania Daima, siku hizi linamfagilia Membe kuliko hata chama chako na wewe binafsi?
10. Tuhuma za ukanda, ukabila na wabunge Viti Maalum kupitia mchakato wa kuvua chupi, ikiwemo wewe mwenyewe hadi kuzaa na baadhi ya wabunge wa Chama chako, haujawahi kukanusha wala kuzungumza chochote, unadhani bado una ushawishi wa kukiongoza chama chetu?
Naomba nisaidiwe kuuliziwa haya.
Asanteni
Sent from my iPhone using JamiiForums