Mwenyekiti wa vijana wa CHADEMA afanya mazungumzo na katibu mkuu wa CDU ya ujerumani

Naona mada hii inajibiwa bila kujua ni nini CDU ya ujerumani hebu ingieni kwenye google muone mchango wa hiki chama kwa kuhakikisha ujerumani inakua nchi yenye misingi ya kikristo pekee ilivyotekelezwa, kisha mseme msimamo na sera za hii CDU inafaa kwa cdm? chama chenye waislamu na wakristo kwa pamoja. maana mie nimejitahidi kuwafuatilia mpaka viongozi wake na sera zake kwa hakika siungi mkono.
wana cdm tuna tatizo la kutopenda kukosolewa lakini tujue hasira za hawa jamaa watakuja tudhalilisha siku moja. na kuna slogani moja nimeisikia kua waislamu vita zote kwao ni makosa isipokua tu vita vya kupigania dini yao ndo vita halali na hapo wanapenda kufa zaidi kuliko kuishi. sasa mwendo wa CDU tuisome kwanza kabla ya kutoa maoni vinginevyo tutakinywea wakitukalia.
 
Naona mada hii inajibiwa bila kujua ni nini CDU ya ujerumani hebu ingieni kwenye google muone mchango wa hiki chama kwa kuhakikisha ujerumani inakua nchi yenye misingi ya kikristo pekee ilivyotekelezwa, kisha mseme msimamo na sera za hii CDU inafaa kwa cdm? chama chenye waislamu na wakristo kwa pamoja. maana mie nimejitahidi kuwafuatilia mpaka viongozi wake na sera zake kwa hakika siungi mkono.
wana cdm tuna tatizo la kutopenda kukosolewa lakini tujue hasira za hawa jamaa watakuja tudhalilisha siku moja. na kuna slogani moja nimeisikia kua waislamu vita zote kwao ni makosa isipokua tu vita vya kupigania dini yao ndo vita halali na hapo wanapenda kufa zaidi kuliko kuishi. sasa mwendo wa CDU tuisome kwanza kabla ya kutoa maoni vinginevyo tutakinywea wakitukalia.
You Tanzanian Muslims, your enemy is poverty and poor education, not Christians. Christians are united, you hit me, we hit you. One more college make you stronger, one more madrasa makes you weaker.
 
Chadema ina hazina kubwa sana ya vijana wenye uwezo.Wakiwekewa utaratibu mzuri chama kinaweza kufika mbali,muda umebaki mchache sana.Mwaka 2015 ulimwengu unaweza kushangaa.Bavicha kishaurini chama na mkishinikize kutumia uwezo wa hazina kubwa mliyo nayo,nawashauri muachane na siasa za ulaji ili kidogo mtofautiane na UVCCM.Vijana wa tanzania wanawategemea sana,kipindi cha uchaguzi nilifurahi sana nilipoona kila mmoja anajenga hoja nzito na zenye ushawishi hata kuliko sisi wabunge kwenye vyombo vya habari.It was so impressive na ilisaidia kweli kuonyesha jeuri ya hazina ya vijana wenye uwezo,wasomi na makini wenye kupanga maono ya baadae ya ukombozi wa taifa letu.Kuna kichwa kimoja inabidi mkitumie,shirikianeni la sivyo UVCCM wanajiandaa au wanaandaliwa kweli kweli kwa ajili ya uchaguzi ujao,ni kama jihad kwao.Huku bungeni bado tunahitaji vijana wengi wenye uwezo mkubwa,pia nitoe wito kwa wanajamii Forums wengi mjiandae kwenda majimboni.Asanteni

Kweli mna hazina! Akina Mr. 2
 
[h=2]Party platform[/h]The CDU is Christian-based, applying the principles of Christian democracyhttp://en.wikipedia.org/wiki/Christian_democracy and emphasizing the "Christian understanding of humans and their responsibility toward God." CDU membership consists however of people adhering to a variety of religions as well as non-religious individuals. The CDU's policies derive from Political Catholicismhttp://en.wikipedia.org/wiki/Political_Catholicism, Catholic social teachingand political Protestantism, as well as fiscal conservatism and national conservatism. The CDU was the first proponent of thesocial market economy, although the party has adopted more liberal economic policies since Helmut Kohl's term in office as the Chancellor of Germany (1982–1998). In terms of foreign policy, the CDU commits itself to European integration and a strong relation with the USA. In the European Union, it opposes the entry of Turkeyinto the EU, preferring instead a privileged partnership with Turkey. In addition to citing various human rights violations, the CDU also believes that Turkey's unwillingness to recognise Cyprus as an independent, sovereign state contradicts the EU policy that its members must recognise the existence of one another. Domestically, the CDU emphasises curtailing red tape and the preservation of cultural traditions.
Opponents of the CDU are the Social Democratic Party of Germany (SPD), the socialist The Left party and the Alliance '90/The Greens. The CDU has however governed in two Grand Coalitions with the SPD as well as in various coalitions with the Alliance '90/The Greens. The CDU rejects coalitions with The Left and right-wing extremist parties.
The Free Democratic Party (FDP), a conservative-liberal party, is the preferred partner of any CDU government since the CDU and FDP have similar attitudes towardsfiscal policy. As a conservative party, the CDU supports stronger punishments of crimes and supports involvement on the part of the Bundeswehr in cases of domestic anti-terrorism offensives as well as in natural catastrophes. In terms of immigrants, the CDU supports initiatives to integrate immigrants through language courses, and aims to further control immigration. Dual citizenship should only be allowed in exceptional cases.
 
Christian democracy is a political ideology that seeks to apply Christian principles to public policy. It emerged in nineteenth-century Europe under the influence ofconservatism and Catholic social teaching.[SUP][1][/SUP] It continues to be influential in Europe and Latin America, though in a number of countries its Christian ethos has been diluted by secularisation.
In practice, Christian democracy is often considered conservative on cultural, social and moral issues (social conservatism) and advocates a social market economy in the economic field (crossing over with social democratic economics but based on the family). In Europe, where their opponents have traditionally been secularistsocialists, Christian democratic parties are moderately conservative overall, whereas in the very different cultural and political environment of Latin America they tend to lean to the left.
Examples of Christian democratic parties include the German Christian Democratic Union (CDU), the Christian Democrat Party of Chile, the Christian Democratic People's Party of Switzerland, the Christian Democratic Appeal (CDA) in the Netherlands and the historical Christian Democracy in Italy.
 
Christian democracy is a political ideology that seeks to apply Christian principles to public policy. It emerged in nineteenth-century Europe under the influence ofconservatism and Catholic social teaching.[SUP][1][/SUP] It continues to be influential in Europe and Latin America, though in a number of countries its Christian ethos has been diluted by secularisation.
In practice, Christian democracy is often considered conservative on cultural, social and moral issues (social conservatism) and advocates a social market economy in the economic field (crossing over with social democratic economics but based on the family). In Europe, where their opponents have traditionally been secularistsocialists, Christian democratic parties are moderately conservative overall, whereas in the very different cultural and political environment of Latin America they tend to lean to the left.
Examples of Christian democratic parties include the German Christian Democratic Union (CDU), the Christian Democrat Party of Chile, the Christian Democratic People's Party of Switzerland, the Christian Democratic Appeal (CDA) in the Netherlands and the historical Christian Democracy in Italy.


Akina Zito na Arfi sijui nao watajifunza hii kitu!!!
 
Back
Top Bottom