Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Hapana mkuu Kisesa inayoongelewa hapa ni kijiji kilichopo wilayani Magu,kwa sasa kimetolewa wilayani Magu na kuongezwa kwenye wilaya mpya ya Nyamagana. Huku ndiko nyumbani kwao na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Mzee Mabina na ambaye alikuwa diwani wa kisesa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu miaka ya nyuma kidogo.Kisesa ni jimbo mkuu ambalo kwa sasa lipo mkoa wa Simiyu.