Na wapigaji hawajaelewa wanaongeza kasi ya kupiga na wachezaji wamenogewa na midundo.
Mkuu hiyo kwenye utawala huu hakuna. Ni kama kutafuta zabibu kwenye michongoma.Dhulma huliangamiza taifa.busara inahiitajika zaid ya maguvu..wakianza kujilipua watu asitafutwe mchawi bali zilaumiwe akir ndogo
Huu ni Upumbavu, unadhani watafanya nini? Hawawezi!Magereza ni ndogo ,siku waislam nchi hii wakichoka. Labda shule zitabadilishwa kuwa magereza
kumbe sasa kuna haja ya kufanya maombi kuwaombea baadhi ya viongozi wafe ili tubaki salama
Ndio,kipindi hicho kilikuwa chama chetu watanzania wote!Ni Kweli ila na Serikali ya chama cha Magufuli
Na ndo ninachomshangaa .haiwezekani wewe ukisemwa tu unakamata na kufunga watu. Atuachie nchi yetu arudi kwao Rwanda hili zee vipi. Anatuletea laana tu TanzaniaHivi Magufuli anafikiri ataweza kuwafunga watu wote nchi hii? Stupid
Hatutafanya Kitu.Huu ni Upumbavu, unadhani watafanya nini? Hawawezi!
Kwa hiyo hata kama kuna njama za kutaka kuvuruga amani ya nchi kwa kisingizio cha dini au siasa Serikali ikae kimya tuu?. Au watu wakiuawa pasipokuwa na hatia serikali upuuzie tuu. Hilo halitakuja kuwezekana hata siku moja.Moyo wa binadam ni kama mpira tu utauuvuta ila utafika kikomo na kufanya maamuzi.
Tuombe Mungu ufate matakwa ya mvutaji lakini ukiamua tofauti, basi tujue kuna shida na hapatakalika.
Tunapoenda si kuzuri sana hilo Mwigulu Nchemba lazima mlitambue. Dhama za utawala wa kitwana zimepitwa na wakati ndiyo maana mnachaguliwa kwa mnapigiwa kura hivyo ongozeni na siyo kutawala.
Msipokuwa makini mtatuharibia nchi
Beep uone utakavyopigiwa, kumbukeni hii sio nchi ya kiislam bali ni ya watanzania wote. Naona sasa mnaanza chokochoko. Kikwete mliishia kumuita kafil sasa sijui na Magufuli mtampa Nina gani!Hii serikali wanachokitafuta watakipata!