Mwenyekiti wa Taasisi ya Imamu Bukhary Sheiky Khalifa Hamisi anashikiliwa na Polisi

Wameteuana watu wasio na busara wala hekima Tanzania imekua kama Afrika kusini ya kaburu ambayo Mwalimu Nyerere aliipinga kwa nguvu zote...
 
It will backfire na hawtaweza kuuzima,
na kwa sasa huu moto wa UKATOLIKI unaendelea hakika hawataweza!

Mimi ni Mkatoliki lakini sipendi kinachoendelea hasa ukizingatia Mkuu wa Kaya ni Mkatoliki.Hakuna kitu kizuri kwenye Taifa kama kupendana na kuheshimiana,siamini kama ukiwa Mkristu ndiyo Bendera ya kukufikisha Pema peponi kwani kinachokufikisha huko ni mwenendo na tabia njema period
 
hata mimi namuunga mkono lowassa..
wamewadhalilisha sana masheikh wa zanzibar na hatia haijapatikana hadi leo..
tena wanashtakiwa nje kabisa ya eneo husika..
watuhumiwe zanzibar washitakiwe bara...
kkkkkkkk...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu
Mkuu una watoto...
Au wewe ni Group Wema Sepenga...!??
mawazo hayo ni kawaida kutokana,na kufikiria/kuwaza at maximum ya ubongo na hii inasabaisha kufanya matukio yasiyo kawaida kama kujinyonga , kuua na kufanya ugaidi hivyo ni vyema kuwa makini na kizazi hiki kwani chuki na ubaguzi unawwza kutugharimu kama taifa
 
Magereza ni ndogo ,siku waislam nchi hii wakichoka. Labda shule zitabadilishwa kuwa magereza
 
Mwenyekiti wa taasisi ya Imamu Bukhary Sheikh Kahalifa Khamisi anashikiliwa na polisi kwa mahojiano kutokana na press conference ya juzi, Polisi wanataka kujua kwanini aliunga mkono kauli ya Lowassa na pia kwa nini aliwataka Waislamu wote nchini kuungana kutetea haki za waislamu waliopo Magereza
Ni wakati muafaka sasa watanzania kuanza kupigania haki, usawa, na demokrasia, sababu bila hivyo vitu hakuna maendeleo yoyote yanaweza kupatikana, serikali badala ya ku deal na issues inashughulika na watu au inashughulikia watu, hasa wanao sema ukweli, sababu hawapendi wananchi wapate ukweli. Kila kitu uchochezi, hii inaonyesha udhaifu mkubwa wa serikali iliyoko madarakani. Sasa kinachoendelea sasa hivi ni kujenga chuki kwa wananchi wake kila upande, siku wakiteleza itakuwa shida.
 
Dhulma huliangamiza taifa.busara inahiitajika zaid ya maguvu..wakianza kujilipua watu asitafutwe mchawi bali zilaumiwe akir ndogo
 
Back
Top Bottom