Mwenyekiti wa TA UK

mmakonde

JF-Expert Member
Dec 26, 2009
966
66
img0322bd.jpg
 
Wakati JF iko mitamboni,DR JOHN LUSINGU alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa TA UK.
Kwa wadau mnaomfahamu,tupeti CV yake ,je ni Dr wa binadamu au ana doctorate toka wapi.

Thanks
 
'JOHN LUSINGU naye anajisifu ana PHD lakini kutokana na uchambuzi wake wa hoja its quite clear to me itakuwa ni PHD ya VISION COLLEGE ya yule mchungaji IRUNGU kwani niliwahi kumuuliza kuhusu mambo ya kugombea ukatibu wa jumuia ya TA kwenye Uchaguzi nkajua tu kuwa hamna kitu mle pamoja na kuwa PHD student. Na hata kama akiipata hiyo PHD basi its more likely to be a MICKEY MOUSE PHD than anything else'

Katika kusearch nimegundua kuna mtu aliandika hapa JF kuhusu Bw JOHN LUSINGU wakati wakimjadili ex Daruso Bwana OWINO.
Sitazungumzia controversial deals za huyu John Lusingu na swaiba wake Owino hasa kuhusu the charity yao !Nia yangu ni kujua ukweli kuhusu elimu ya huyu Bwana Lusingu,maana anawakilisha Watz Uk,sio mambumbu kama wananchi wa Nchimbi au Kamala.

Tanzania sasa tuna matatizo ya hizi Phd fake.Sasa hivi tuna wabunge EALA 2 wenye Phd feki.Baraza la mawaziri usiseme.
Huu upuuzi usifike London.

Kuna post hapa mtu amesema kuwa Lusingu ana Phd toka Warwick.Ni chuo kizuri na top class.Lakini vilevile kuna watu wanajua
amesomea pale VISION college cha Mtanzania anaitwa IRUNGU mtu wa huko mkoa wa Mara ambaye yuko UK siku nyingi.Chuo chake kiko hapa Stratford.Naye anajiita DR siku hizi,i dont know Phd yake ni ya wapi,maana kwenye website yake hasemi.

Kama wewe Dr Lusingu ,au unayemfahamu vizuri,tuambie facts ili majungu na uongo uishie hapa.Hatutakubali kuwa Chairman wa TA UK,wakati elimu yako ni ya utatanishi.
Jamani mwageni details hapa,ili tusiwe wababaishaji na uswahili uishie bongo


 
'JOHN LUSINGU naye anajisifu ana PHD lakini kutokana na uchambuzi wake wa hoja its quite clear to me itakuwa ni PHD ya VISION COLLEGE ya yule mchungaji IRUNGU kwani niliwahi kumuuliza kuhusu mambo ya kugombea ukatibu wa jumuia ya TA kwenye Uchaguzi nkajua tu kuwa hamna kitu mle pamoja na kuwa PHD student. Na hata kama akiipata hiyo PHD basi its more likely to be a MICKEY MOUSE PHD than anything else'

Katika kusearch nimegundua kuna mtu aliandika hapa JF kuhusu Bw JOHN LUSINGU wakati wakimjadili ex Daruso Bwana OWINO.
Sitazungumzia controversial deals za huyu John Lusingu na swaiba wake Owino hasa kuhusu the charity yao !Nia yangu ni kujua ukweli kuhusu elimu ya huyu Bwana Lusingu,maana anawakilisha Watz Uk,sio mambumbu kama wananchi wa Nchimbi au Kamala.

Tanzania sasa tuna matatizo ya hizi Phd fake.Sasa hivi tuna wabunge EALA 2 wenye Phd feki.Baraza la mawaziri usiseme.
Huu upuuzi usifike London.

Kuna post hapa mtu amesema kuwa Lusingu ana Phd toka Warwick.Ni chuo kizuri na top class.Lakini vilevile kuna watu wanajua
amesomea pale VISION college cha Mtanzania anaitwa IRUNGU mtu wa huko mkoa wa Mara ambaye yuko UK siku nyingi.Chuo chake kiko hapa Stratford.Naye anajiita DR siku hizi,i dont know Phd yake ni ya wapi,maana kwenye website yake hasemi.

Kama wewe Dr Lusingu ,au unayemfahamu vizuri,tuambie facts ili majungu na uongo uishie hapa.Hatutakubali kuwa Chairman wa TA UK,wakati elimu yako ni ya utatanishi.
Jamani mwageni details hapa,ili tusiwe wababaishaji na uswahili uishie bongo
Kama sijakosea ni Phd ya philosophy from Warwick university...Kwanini ukumwuliza wakati ulikuwa unaongea naye?
 
Bravo Mkuu Dr. John Lusingu, hili taifa tunahitaji sana watu kama wewe wenye uwezo wa kuongoza, tupo pamoja sana.

Respect.


FMEs!
 
Kama sijakosea ni Phd ya philosophy from Warwick university...Kwanini ukumwuliza wakati ulikuwa unaongea naye?



Babu,kama kweli ana Phd toka warwick,it good!Je umeprove?Vipi hapo Vision college?
 
Suala hapa sio kuongoza vizuri!Ni uhalali wa Phd yake!
Prove kama ana Phd toka Warwick!

Mmakonde,

Mbona unakuwa kama umelazimishwa kuandika humu...au umekosa kazi ya kufanya?

Uthibitishiwe kuwa PhD ni ya Warwick University wewe ukiwa kama nani? Au unaona wengine humu jamvini hatunazo kichwani ila wewe tu ndio mwerevu kifimbo cheza?
 
Nafikiri hili sana ni suala la waliomchagua. Sehemu muafaka ya kujadili masuala haya ilikuwa kwenye vikao vya kampeni kabla ya uchaguzi. Kwa sasa nafikiri ni muhimu kusubiri PhD ya mgombea anayefuata. Samahani kama nimekosea, ni maoni binafsi...
 
I know the guy very well. His PhD is really. Na nafikiri wamepatia kumchagua. Hajakaa kikadakada kama mdogo wangu Owino, labda wamharibu sasa hivi!!
 
'JOHN LUSINGU naye anajisifu ana PHD lakini kutokana na uchambuzi wake wa hoja its quite clear to me itakuwa ni PHD ya VISION COLLEGE ya yule mchungaji IRUNGU kwani niliwahi kumuuliza kuhusu mambo ya kugombea ukatibu wa jumuia ya TA kwenye Uchaguzi nkajua tu kuwa hamna kitu mle pamoja na kuwa PHD student. Na hata kama akiipata hiyo PHD basi its more likely to be a MICKEY MOUSE PHD than anything else'

Katika kusearch nimegundua kuna mtu aliandika hapa JF kuhusu Bw JOHN LUSINGU wakati wakimjadili ex Daruso Bwana OWINO.
Sitazungumzia controversial deals za huyu John Lusingu na swaiba wake Owino hasa kuhusu the charity yao !Nia yangu ni kujua ukweli kuhusu elimu ya huyu Bwana Lusingu,maana anawakilisha Watz Uk,sio mambumbu kama wananchi wa Nchimbi au Kamala.

Tanzania sasa tuna matatizo ya hizi Phd fake.Sasa hivi tuna wabunge EALA 2 wenye Phd feki.Baraza la mawaziri usiseme.
Huu upuuzi usifike London.

Kuna post hapa mtu amesema kuwa Lusingu ana Phd toka Warwick.Ni chuo kizuri na top class.Lakini vilevile kuna watu wanajua
amesomea pale VISION college cha Mtanzania anaitwa IRUNGU mtu wa huko mkoa wa Mara ambaye yuko UK siku nyingi.Chuo chake kiko hapa Stratford.Naye anajiita DR siku hizi,i dont know Phd yake ni ya wapi,maana kwenye website yake hasemi.

Kama wewe Dr Lusingu ,au unayemfahamu vizuri,tuambie facts ili majungu na uongo uishie hapa.Hatutakubali kuwa Chairman wa TA UK,wakati elimu yako ni ya utatanishi.
Jamani mwageni details hapa,ili tusiwe wababaishaji na uswahili uishie bongo



Mkuu, mbona wewe mwenyewe umeshindwa kupanga hoja yako vizuri? ..... pamoja na phd yako toka ivy league school
 
Mmakonde,

Mbona unakuwa kama umelazimishwa kuandika humu...au umekosa kazi ya kufanya?

Uthibitishiwe kuwa PhD ni ya Warwick University wewe ukiwa kama nani? Au unaona wengine humu jamvini hatunazo kichwani ila wewe tu ndio mwerevu kifimbo cheza?



Si unajua watu siku hizi wana fake Phd!Unaweza kudanganya bongo,lakini Ulaya ni too much.
Wewe umesema anayo ya Warwick fine.Lakini kuna post ambayo nimenukua hapo juu inasema alikuwa anasoma Vision college ya 'Dr' Irungu.
Kumbuka mtu ukiamua kuwa kiongozi ,ukubali kuwa jamii unayowakilisha wana haki ya kuhoji.

Usijaribu ku shut debate,maana huyu bwana anahold nafasi muhimu kama representative.Tuambie lini alimaliza Warwick na Supervisor wakke alikuwa nani.
 
Mmakonde,

Mbona unakuwa kama umelazimishwa kuandika humu...au umekosa kazi ya kufanya?

Uthibitishiwe kuwa PhD ni ya Warwick University wewe ukiwa kama nani? Au unaona wengine humu jamvini hatunazo kichwani ila wewe tu ndio mwerevu kifimbo cheza?


Aha,sio swala la mimi ni nani!Nafikiri akina Masaburi,Nchimbi na wengineo wenye Phd fake wana haki ya kusema kama wewe.
Kuna watu wanasema huyu Bw Lusingu alikuwa vision college ya "DR" Irungu pengine Phd yake ya pale.Tunajua hicho chuo hapo Stratford,London.

Bwana Lusingu anawakilisha watu wengi wereve UK,sio kama Wabunge wa Tanzania ,wanapeta tu maana huko kijijini watu wengi ni mbumbumbu.
Huyu Lusingu ameamua kuwa Kiongozi ,kwa hiyo watu wana haki ya kumuuliza CV yake vizuri,Unajua nchi yeti imekuwa tarnished na fake Phd kama za akina NCHIMBI,
tuna ufisadi wa elimu ambao hatutakiwa uende UK.

Bw Lusingu awe clean ,aseme Phd yake alimaliza lini,kama alisoma Warwick kama ulivyosema nani alikuwa supervisor wake.Hii sio big deal,maana UK ukiandika kuwa wewe una Phd,Supervisor wako lazima ajulikane.
 
Jamani mwageni details hapa,ili tusiwe wababaishaji na uswahili uishie bongo
Ina maana wewe tiari ushakuwa mdhungu au huna hata haja ya kurudi bongo, binafsi sina tatizo na PhD yake wewe ndiye unatakiwa kutuletea details zake alianza lini.
 
Kamati ya TA Mwaka huu ina vichwa vyote,

Unaweza ukapewa details za member mmoja mmoja kwenye kamati

As to your question and non sense speculative motives , nitaka nikwambie kwamba bwana John Lusingu
ni PHD Holder from warwick:

John Lusingu (Tony Bush) – Decentralisation in Tanzania: Impact on Rural Primary Schools

Huyo kwenye mabano ndio supervisor

http://www2.warwick.ac.uk/fac/soc/wie/research-new/leadership/phdstudents



Thanks,
Matter closed!heshima yake Ndg Lusingu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom