Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kati ya taarifa zilizonivutia ni hii hapa ya mwenyekiti wa serikali za mitaa mbagala alipokuta jina lake na watu zaidi ya 50 awapo na kusimamisha uchaguzi ,..si yeye bali niwatu waliokuwa majina yao yameandikishwa gfla ayajatokea kwenye jalada lao la leo
Baada ya kuona hivi mwenyekiti aliwaambia msipoteze muda iten gari lenu muondoe vifaa hakuna kitakachofanyika mpaka mtakapotueleza majina mlipoyapeleka....
ukiwa kama mwana ccm inakufundisha nini???
KIDUMU CHAMA
Baada ya kuona hivi mwenyekiti aliwaambia msipoteze muda iten gari lenu muondoe vifaa hakuna kitakachofanyika mpaka mtakapotueleza majina mlipoyapeleka....
ukiwa kama mwana ccm inakufundisha nini???
KIDUMU CHAMA