nsharighe
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 1,439
- 2,211
Unajua nchi hii Askari polisi Ni wachache kulingana na mahitaji na population ya watu, Askari mmoja anahudumia watu Laki 3 kwa idadi ya waliopo, kitu ambacho hakiwezekani.Mbona umekuja juu ni ww ama. Kujitolea kivipi. Changamoto ipi shida ipo mahala unalipia hela bila kupata huduma kama ww una hela za kuchezea ni sawa unalipishwa 10,000 halafu hakuna hata mlinzi. Pia mjumbe hana mamlaka ya kusimamia ulinzi wa kulipia hawa vijana wanaojitolea sijui kama unajua kuwa kuna askari wa mgambo wa kata ambao ndio jukumu lao. Kama wewe ndio mjumbe basi zile tabia zako za wizi ziache kule ulipofukuzwa.
Ikaonekana wanahitaji msaada kuhudumia wananchi, ndio likaja wazo la polisi jamii, Achana na Mgambo hapo, Unakuta kata Ina migambo 20 na mitaa zaidi ya 7 na mitaa vitongoji 30 Sasa hao mgambo wanasaidia nini?
Mtaani kwangu nilishauri Kama watu hawataki kuchangia Ulinzi Shirikishi Basi angalau kila nyumba aamke mtu alinde kwa zamu, wakiamka 20 Leo na kesho, siku zinazo wataamka wengine, hatuwezi tuchangie vijana wafanye kazi.