Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 819
- 1,079
Inasikitisha sana
Huu upuuzi utaisha pale ujinga wa kupita bila kupingwa utakapokomeshwa!Yote hayo wanalazimisha apite bila kupingwa, siku zote wanatuambia anakubalika jimboni kwake kwasababu anatoa bure huduma ya kuzika sasa siwamuache apigiwe kura na hao wanaomkubali.
Wewe akili yako inafaa kuwa ya bata.body language ya huyo mama inaonyesha wazi anachoongea uongo .cheki alivyo mkavu yaani ni fix huhitaji kuwa mtaalamu wa saikolojia kujua anachoongea sicho
Na haya ulio andika wewe ndio ya kweli?body language ya huyo mama inaonyesha wazi anachoongea uongo .cheki alivyo mkavu yaani ni fix huhitaji kuwa mtaalamu wa saikolojia kujua anachoongea sicho