Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 597
Abeid Ahmed Mussa Mwenyekiti wa Mtaa wa Ziwa Kata ya Butimba kwa tiketi ya chadema amejiuzulu Uenyekiti wa Mtaa na kukihama Chama hicho na kuomba kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.
Akiongea na Vyombo vya Habari Leo Tarehe 10.10.2018 Amesema chadema kwa sasa imekosa Dira wala hakuna zaidi ya ubishi ubishi tu lakini hawana nia Ya kushika Dola zaidi ni chama cha watu wachache wenye lengo la kujenga Maisha yao Binafsi tu.
Ameongeza zaidi kuwa Hata Diwani wa Kata ya Butimba Bwana John Pambalu atafuata muda si mrefu na viongozi wengine wa wilaya na kata na kujiunga na ccm.
Pia Amesema Kuna Taarifa za Mnyika na Wabunge wengine wa kutoka kanda ya ziwa wako mbioni kabla ya Desemba.
Ameongeza kuwa Amejivua uanachama wa chadema na kuomba kujiunga na ccm ili kujenga Taifa kwa chama chenye sera na falsafa za kweli na dira.
Source: Katibu wa ccm Kata ya Butimba Bwana Marwa
Akiongea na Vyombo vya Habari Leo Tarehe 10.10.2018 Amesema chadema kwa sasa imekosa Dira wala hakuna zaidi ya ubishi ubishi tu lakini hawana nia Ya kushika Dola zaidi ni chama cha watu wachache wenye lengo la kujenga Maisha yao Binafsi tu.
Ameongeza zaidi kuwa Hata Diwani wa Kata ya Butimba Bwana John Pambalu atafuata muda si mrefu na viongozi wengine wa wilaya na kata na kujiunga na ccm.
Pia Amesema Kuna Taarifa za Mnyika na Wabunge wengine wa kutoka kanda ya ziwa wako mbioni kabla ya Desemba.
Ameongeza kuwa Amejivua uanachama wa chadema na kuomba kujiunga na ccm ili kujenga Taifa kwa chama chenye sera na falsafa za kweli na dira.
Source: Katibu wa ccm Kata ya Butimba Bwana Marwa