Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Hivi ni kweli mahakama haikujua ni nani aliyeitisha mgomo na ni kweli imekosea kutoa maamuzi ya kumkamata mtu asiyehusika? Je ni kweli serikali ipo makini na ina nia ya dhati ya kutatua mgogoro wa madaktari na serikali ambao unaotuumiza zaidi sisi makabwela walipa kodi? Hivi ni kweli watawala wetu pamoja na mihimili yote mitatu vimeshindwa kulitafutia ufumbuzi wa haraka mgogoro huu?