KAKADO
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 230
- 336
Hali ya hofu na wasiwasi imeikumba kata ya Endakiso, kijiji Gijedubung wilayani Babati mkoani Manyara baada ya Mwenyekiti wa kijiji ndugu Faustine Kwaslema Sanka kupotea katika mazingira yakutatanisha
Kwa mujibu wa mtendaji wa kijiji bwana John Isdory anasema Faustine alitoka nyumbani asubuhi akiwa na usafiri wa Pikipiki na hakurejea nyumba tena
Amepotea tangu tarehe 9/2/2019 na mpaka leo tarehe 13/02/2019 hajulikani halipo licha ya Wanakijiji kujitolea kumtafuta bila mafanikio
Taarifa za kupotea kwakwe tayari zipo katika Kituo cha Polisi na upelelezi wakumtafuta bado unaendelea.
Kwa mujibu wa mtendaji wa kijiji bwana John Isdory anasema Faustine alitoka nyumbani asubuhi akiwa na usafiri wa Pikipiki na hakurejea nyumba tena
Amepotea tangu tarehe 9/2/2019 na mpaka leo tarehe 13/02/2019 hajulikani halipo licha ya Wanakijiji kujitolea kumtafuta bila mafanikio
Taarifa za kupotea kwakwe tayari zipo katika Kituo cha Polisi na upelelezi wakumtafuta bado unaendelea.