Na bazigiza mkuu.
Hivi Matiku Matare jamani aliishiaga wapi? Naomba kwa mwenye taarifa zake.
Na bazigiza mkuu.
Dr Ulimboka kuwa makini na magamba huwa hawatanii,je una wakumbuka Stan katabaro,Silvester Rwegasira,Dr Fupi wako wapi
Katika jambo kama hili vitisho lazima mvitegemee.Cha msingi jipangeni vizuri..
Nilichangia kwenye thread nyingine kuwa hili lingetokea kwa kuwa ni serikali legelege. Ni sawa kabisa kupigana na mtu mwoga, atakutisha kwa kila hali na wewe utadhani anamaanisha kweli kumbe ukimstua tu atakimbia na kujamba hovyo.
Dr Ulimboka wewe ni jemadari mkuu tuongoze baba uasiwmwoga. Kumbuka hata Idd Amin alitisha sana hata,Gadaffi au Sadam Husein kiasi kwamba hawakufanya resistance yoyote.
Safari hii wametumia sms kesho watakuja na kila aina ya silaha we subiri tu uone, lakini hawana lolote. Lakini kaeni sawa mwoga anaweza akakuangushia pigo akakutoa roho.
Nani duniani ameona serikali kama hii?
Hawa mafisadi Mi nawachukia mpk hata ardhi ninayoikanyaga ni shahidi!
Hila na njama zao zitakwama tu!
Wapuuzi wakubwa kabisa!