mchangamadini
Member
- Jun 1, 2017
- 59
- 28
Hili ni ajabu la kumi duniani.
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida Vijijini ambaye pia ni kibaraka mkubwa wa Lazaro Nyalandu, mbunge Monko, DED Rashid Mandoa, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, Omari Ng'ombe pamoja na Diwani Munyawi Hinga wa Ikhanoda na wa Merya Idd wameondoka leo hapa Singida kuelekea Dodoma kuonana na Waziri Mkuu na Waziri wa Tamisemi kwenda kupinga hatua ya Serikali kutenga fedha kwa ajili ya kujenga hospitali ya Wilaya katika mji wa Ilongero.
Wanafanya hivi kwa sababu ya chuki zao binafsi za mgogoro waliouunda wa wapi ijengwe makao makuu ya wilaya
Wanakula utumbo wao kwa kuwanyima wananchi haki ya kupata huduma za afya. Watu wa aina hii ni wa kulaaniwa na kuogopwa kama ukoma, mnakataaje hospitali na nyie ni viongozi?
Mnampingaje waziri na Rais aliyeamua kuwasaidia wananchi? Mbunge Monko ameapa bora akose ubunge lakini atahakikisha makao makuu yanajengwa kwao.
My take. Hii ni hujuma kwa wananchi.
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida Vijijini ambaye pia ni kibaraka mkubwa wa Lazaro Nyalandu, mbunge Monko, DED Rashid Mandoa, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, Omari Ng'ombe pamoja na Diwani Munyawi Hinga wa Ikhanoda na wa Merya Idd wameondoka leo hapa Singida kuelekea Dodoma kuonana na Waziri Mkuu na Waziri wa Tamisemi kwenda kupinga hatua ya Serikali kutenga fedha kwa ajili ya kujenga hospitali ya Wilaya katika mji wa Ilongero.
Wanafanya hivi kwa sababu ya chuki zao binafsi za mgogoro waliouunda wa wapi ijengwe makao makuu ya wilaya
Wanakula utumbo wao kwa kuwanyima wananchi haki ya kupata huduma za afya. Watu wa aina hii ni wa kulaaniwa na kuogopwa kama ukoma, mnakataaje hospitali na nyie ni viongozi?
Mnampingaje waziri na Rais aliyeamua kuwasaidia wananchi? Mbunge Monko ameapa bora akose ubunge lakini atahakikisha makao makuu yanajengwa kwao.
My take. Hii ni hujuma kwa wananchi.