Nyamemba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 845
- 446
wana JF kuna tetesi kuwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya serengeti na diwani wa kata ya mbalibali CCM ndugu JOHN NG"OINA ameiibia halmashauri hiyo zaidi ya billioni 5 fedha zinazotokana na malipo toka hifadhini na fedha za miradi na hivi sasa kakimbilia INDIA alikojificha akidai anaugua kisukari,naomba wadau hasa wana serengeti wenye full information kuhusu issue hii wafunguke,msisahau JK ni mwekezaji huko ana hoteli inaitwa BILILA KEMPISKI wanaimiliki kwa ubia na mwarabu mmoja