<br />Mnamkaribisha kwenu, kwani munajua chanzo cha mgogoro? Hebu shughulisheni akili kidogo kugundua tatizo nini kabla ya kumkaribisha? Mbona Mh. Rostamu hamjamkaribisha au yeye alijivua gamba na huyu mwenyekiti amejivua shati?
<br />
raostamu bado ni wenu na bado manhaja naye by the way CDM c dampo la kumwagia uchafu wale wenye mikono misafi wanakaribishwa