Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 374
- 509
Ukweli ni kuwa ameng'olewa na Madiwani wa chama chake kutokana na kuwa na Mgogoro wa muda mrefu, kambi mbili zilikuwa zikishindana.
Toka alipoingia kushinda udiwani alikuwa akipambana na wenzake na leo wamefanikiwa kumg'oa. Japo alitamka kuachia na UDIWANI taarifa za sasa usiku nimeambiwa kuwa amekanusha kuachia na udiwani.
Toka alipoingia kushinda udiwani alikuwa akipambana na wenzake na leo wamefanikiwa kumg'oa. Japo alitamka kuachia na UDIWANI taarifa za sasa usiku nimeambiwa kuwa amekanusha kuachia na udiwani.