Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Geita Nd.Msukuma leo ametangaza kujiuzuru uenyekiti wa Halmashauri pamoja na udiwani kwa tiketi ya CCM baada ya kuwa kwenye mgogoro na madiwani wenzake wa magamba kwa muda sasa.
Source: ni habari toka ukumbi wa halmashauri.
======
Source: ni habari toka ukumbi wa halmashauri.
======
Ukweli ni kuwa ameng'olewa na Madiwani wa chama chake kutokana na kuwa na Mgogoro wa muda mrefu, kambi mbili zilikuwa zikishindana.
Toka alipoingia kushinda udiwani alikuwa akipambana na wenzake na leo wamefanikiwa kumg'oa. Japo alitamka kuachia na UDIWANI taarifa za sasa usiku nimeambiwa kuwa amekanusha kuachia na udiwani.