figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Ona mwenyekliti halmashauri ya Hai, Helga Mchomvu alivyowajibu polisi. Inaonekana Mkuu wa Wilaya ya Hai alitaka kuwatumia Polisi kumnyamazisha huyu Diwani wa CHADEMA. aliwajibu sawa sawa na Vitendo vyao kwamba "Kama mumekuja kunikamata kwa makosa nliyoyafanya huko mtaani sina tatizo, lakini kama Mukekuja kuninyamazisha ili tusilaani kitendo cha Mkuu wa Wilaya kuharibu shamba la muwekezaji wa ndani kisa tu ni Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, Kamwambieni hataweza kuninyamazisha"
Polisi wakamsihi aache kuongea kwa sauti, akawajibu acha niongee umma usikie matendo yenu. Nyie Polisi siwalaumu sababu nyie ni nyuma geuka, mbele tembea.
"Sio kawaida kwa utaratibu wa kuja kusimamiwa na askari wakati naendesha baraza, baraza hili ni l ahalmashauri ya Wilaya ya hai kwa manufaa ya watu wa Hai. Mnanitoa kwenye Pozi la kuendelea kusimamia na kutafuta jinsi gani tuendelea kupata mapato ya Halmashauri hii".
MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA HAI ASHIKILIWA NA POLISI KWA SAA TANO BAADA YA KUMALIZA KIKAO CHA BARAZA.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai, Helga Mchomvu (kulia) akiingia katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Hai kwa ajili kuongoza kikao cha baraza hilo.Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Yahana Sintoo.
Mwenyekiti wa Baraza la Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu akiteta jambo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ,Yahana Sintoo wakati wa kikao cha baraza la Madiwani.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Yohana Sintoo akizungumza wakati wa kikao cha baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo.
Baadhi ya Madiwani wanaounda baraza la Halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai, Helga Mchomvu akizungumza wakati wa kikao cha baraza hilo.
Baadhi ya watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai wakiwa katika kikao cha baraza hilo.
Diwani Harry Masakia akisoma kanuni za kudumu za Halmashauri wakati wa kikao cha baraza hilo.
Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu akitoka nje ya ukumbi wa mikutno mara baada a kuhairisha kikao cha baraza hilo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,akizungumza na askari Polisi waliokuwa nje ya ukumbi wakimsubiri kwa ajili ya kumfikisha kituo cha Polisi.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai, Helga Mchomvu akiongozana na askari Polisi wakati akilekea ofsiini kwake.
Askari Polisi wakiomngojea Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu nje ya ofisi yake .
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ,Helga Mchomvu akieleka kito cha Polisi huku akisindikizwa ana askari Polisi.
Mwenyekiti wa Halmahauri ya wilaya ya Hai ,Helga Mchomvu akiingia kituo cha Polisi Bomang'ombe.
Polisi wakamsihi aache kuongea kwa sauti, akawajibu acha niongee umma usikie matendo yenu. Nyie Polisi siwalaumu sababu nyie ni nyuma geuka, mbele tembea.
"Sio kawaida kwa utaratibu wa kuja kusimamiwa na askari wakati naendesha baraza, baraza hili ni l ahalmashauri ya Wilaya ya hai kwa manufaa ya watu wa Hai. Mnanitoa kwenye Pozi la kuendelea kusimamia na kutafuta jinsi gani tuendelea kupata mapato ya Halmashauri hii".
MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA HAI ASHIKILIWA NA POLISI KWA SAA TANO BAADA YA KUMALIZA KIKAO CHA BARAZA.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai, Helga Mchomvu (kulia) akiingia katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya ya Hai kwa ajili kuongoza kikao cha baraza hilo.Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Yahana Sintoo.
Mwenyekiti wa Baraza la Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu akiteta jambo na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ,Yahana Sintoo wakati wa kikao cha baraza la Madiwani.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Yohana Sintoo akizungumza wakati wa kikao cha baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo.
Baadhi ya Madiwani wanaounda baraza la Halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai, Helga Mchomvu akizungumza wakati wa kikao cha baraza hilo.
Baadhi ya watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Hai wakiwa katika kikao cha baraza hilo.
Diwani Harry Masakia akisoma kanuni za kudumu za Halmashauri wakati wa kikao cha baraza hilo.
Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Hai.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu akitoka nje ya ukumbi wa mikutno mara baada a kuhairisha kikao cha baraza hilo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,akizungumza na askari Polisi waliokuwa nje ya ukumbi wakimsubiri kwa ajili ya kumfikisha kituo cha Polisi.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai, Helga Mchomvu akiongozana na askari Polisi wakati akilekea ofsiini kwake.
Askari Polisi wakiomngojea Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Helga Mchomvu nje ya ofisi yake .
Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ,Helga Mchomvu akieleka kito cha Polisi huku akisindikizwa ana askari Polisi.
Mwenyekiti wa Halmahauri ya wilaya ya Hai ,Helga Mchomvu akiingia kituo cha Polisi Bomang'ombe.