Mwenyekiti wa Hai ni Mama shupavu, awasomesha Polisi lakini wamembeba

Rais aongee na watu wake aliowachagua ili kuwaasa kuhusu umuhimu wa kufuata sheria, kanuni na ustaarabu ktk kushughulikia mambo. Hii tabia ya ma-DC na ma-RC kufanya kazi ya kukandamiza wapinzani wakati wananchi wana kero nyingi sana zinazohitaji utatuzi sio sawa.

Tukienda kwa mwendo huu hatutakuwa tofauti na utawala uliopita ambako kila mtu alikuwa na sharubu kama familia ya kambale. Hata alete maendeleo ya kiasi gani, kama ananyanyasa wananchi wake kwa sababu tu ya tofauti za kisiasa atajiharibia sana legacy yake. Kwa namna anavyofanya kazi, hahitaji kunyanyasa wapinzani ili ashinde 2020-kazi yake inaongea. Hili la kusumbua wapinzan halina kisingizio-ni chuki tu za ngozi nyeusi.
 
Kwa mujibu wa Thomas Hobes, asili ya binadamu ni ubinafsi, kusolve tatizo hilo akashauri tuwe na mfumo wa serikali (Leviathan) kudhibiti machafuko (State of nature) kati ya mtu na mtu katika kukidhi mahitaji binafsi.

Wanafalsafa wengi walipendekeza miundo mbali mbali ya serikali. Lakini watu wa Magharibi walionelea mfumo wa Demokrasia (Serikali ya watu, kwa ajiri ya watu na iliyoundwa/kuchaguliwa na watu) ni mzuri. Nasi waafrika wakati huo tulikuwa na aina zetu za Serikali kulingana na tamaduni, hulka na utengamano wa jamii zetu.

Miaka ya 90, kupitia msukumo wa nchi za magharibi nchi nyingi za Afrika kwa shingo upande zilianza kufuata mfumo wa Serikali za kidemokrasia ya kimagharibi (Vyama vingi/Mageuzi)

Kwa mtazamo wangu matatizo mengi yanayoendelea nchi nyingi za Afrika yalianzia hapo, nafikiri wengi tulijikuta tukiingia kwenye mfumo wa kidemokrasia ambayo haikuendana na hulka yetu, tamaduni zetu na hata huwezo wetu wa kuyachanganua mambo. Nafikiri ili Afrika iwe salama ni lazima tuanze kufikiria upya aina ya demokrasia inayoweza kuendana na matakwa yetu. Nafikiri hivi kutokana na ukweli kwamba maeneo mengi ya Afrika kumekuwa na chaguzi za hovyo ambazo waliopo madarakani hawapo tayari kuachia dora, maeneo mengine waliopo madarakani kutaka kuhodhi nchi kuwa mali zao binafsi na hata maeneo mengine walio nje ya mfumo wa madaraka kuonekana si lolote bali takataka.

Nakaribisha mawazo huru ili kuelimishana Zaidi. Huu ni mtizamo wangu juu ya ili na mengine mengi yanayoendelea Afrika
Mkuu umeongea hoja nzito sana nahisi afrika hatukuwa meant kuchukua demokrasia ya magharibi nashauri turudi tu kwenye mfumo wa kichifu maana haina namna ya kuwa na demokrasia ambayo hatupo tayari kuona ikichukua nafasi yake

Africa ni failed democracy kma kweli tunaitaka demokrasia basi iwekwe body ya kusimamia demokrasia ambayo ina nguvu ya kijeshi na kisheria kuenforce democracy kwa signatories wote otherwise tutakuwa tunauwana tu kma sudan na central africa in the name of democratic elections!!!
 
Kelele nyingi mwisho wa siku tunaondoka na wewe

Aaah mkuu halafu mkiisha mfikisha mnamuua au?? Kila siku mnamkamata Lissu, Lema na wengine wengi tu. Kina Lijualikali mkawafunga, matokeo ni kufedheheka.
Kama unayo akili kidogo tu, hutashabikia wendawazimu. Unamtuma mwanamume tena akiwa na silaha ya moto kwenda kumkamata mwanamke ambaye silaha aliyokuwa nayo ni Joho,kofia hata kalamu hana. Huu ni woooogaaaa tusiusifie hata kidogo. Kama ni wanaume, wangemlaza mle ndani leo ndipo tungeyajua matokeo
 
Mkuu umeongea hoja nzito sana nahisi afrika hatukuwa meant kuchukua demokrasia ya magharibi nashauri turudi tu kwenye mfumo wa kichifu maana haina namna ya kuwa na demokrasia ambayo hatupo tayari kuona ikichukua nafasi yake

Africa ni failed democracy kma kweli tunaitaka demokrasia basi iwekwe body ya kusimamia demokrasia ambayo ina nguvu ya kijeshi na kisheria kuenforce democracy kwa signatories wote otherwise tutakuwa tunauwana tu kma sudan na central africa in the name of democratic elections!!!
Kabisa mkuu, hii demokrasia ya kimagharibi imetultea mpasiko mkubwa. Mbaya Zaidi hao wa-magharibi wanatumia mwanya huo huo wa mpasuko wetu na ubinafsi wetu kushirikiana na tabaka dogo la watawala kutuibia rasilimali zetu.
 
Aaah mkuu halafu mkiisha mfikisha mnamuua au?? Kila siku mnamkamata Lissu, Lema na wengine wengi tu. Kina Lijualikali mkawafunga, matokeo ni kufedheheka.
Kama unayo akili kidogo tu, hutashabikia wendawazimu. Unamtuma mwanamume tena akiwa na silaha ya moto kwenda kumkamata mwanamke ambaye silaha aliyokuwa nayo ni Joho,kofia hata kalamu hana. Huu ni woooogaaaa tusiusifie hata kidogo. Kama ni wanaume, wangemlaza mle ndani leo ndipo tungeyajua matokeo
Lisu mtoto Mdogo sana ndani ya system .. Hatusumbui
 
Hiki chama changu hakijajua Wanzania wanataka nini zaidi ya kuwagawa raia wanaowatawala . Kwa msingi huo kura zitaongezeka au zinapungua ushawishi ni kuonyesha upendo kama wapinzani wetu wanayofanya bila vurugu lakini wafuasi wanazidi kununulika siasa ni ushawishi sio uadui tunaoujenga kwa nguvu kubwa ambayo inatengeneza moto ambao hauna mzimaji usiombee raia akuchoke utajuta utajutia hiyo silaha kuwagawa watu walio ktk umoja
 
Kwa mujibu wa Thomas Hobes, asili ya binadamu ni ubinafsi, kusolve tatizo hilo akashauri tuwe na mfumo wa serikali (Leviathan) kudhibiti machafuko (State of nature) kati ya mtu na mtu katika kukidhi mahitaji binafsi.

Wanafalsafa wengi walipendekeza miundo mbali mbali ya serikali. Lakini watu wa Magharibi walionelea mfumo wa Demokrasia (Serikali ya watu, kwa ajiri ya watu na iliyoundwa/kuchaguliwa na watu) ni mzuri. Nasi waafrika wakati huo tulikuwa na aina zetu za Serikali kulingana na tamaduni, hulka na utengamano wa jamii zetu.

Miaka ya 90, kupitia msukumo wa nchi za magharibi nchi nyingi za Afrika kwa shingo upande zilianza kufuata mfumo wa Serikali za kidemokrasia ya kimagharibi (Vyama vingi/Mageuzi)

Kwa mtazamo wangu matatizo mengi yanayoendelea nchi nyingi za Afrika yalianzia hapo, nafikiri wengi tulijikuta tukiingia kwenye mfumo wa kidemokrasia ambayo haikuendana na hulka yetu, tamaduni zetu na hata huwezo wetu wa kuyachanganua mambo. Nafikiri ili Afrika iwe salama ni lazima tuanze kufikiria upya aina ya demokrasia inayoweza kuendana na matakwa yetu. Nafikiri hivi kutokana na ukweli kwamba maeneo mengi ya Afrika kumekuwa na chaguzi za hovyo ambazo waliopo madarakani hawapo tayari kuachia dora, maeneo mengine waliopo madarakani kutaka kuhodhi nchi kuwa mali zao binafsi na hata maeneo mengine walio nje ya mfumo wa madaraka kuonekana si lolote bali takataka.

Nakaribisha mawazo huru ili kuelimishana Zaidi. Huu ni mtizamo wangu juu ya ili na mengine mengi yanayoendelea Afrika
Naunga mkono hoja yako ndugu. Hii demokrasia inayohubiriwa na nchi za Magharibi kwa nchi za Afrika na nchi zingine masikini, haiwezi kufikiwa kirahisi hivyo. What we're doing now is nothing but dancing to their tunes. Na kiuhalisia, midundo yao hatuiwezi, kila siku tutakua a hundred steps back, unless tupitie njia walioyopita wao. ie wao walikua na sababu ya kuhitaji demokrasia, ila sisi tumelazimishiwa sababu za kuhitaji demokrasia.
 
Kiwango cha uvumilivu cha wapinzani wa Tz ni cha hali ya juu sana. Tunaelekea katika giza nene ambalo sioni uwezo wa upinzani kutupa Nuru. Kama kiongozi mwenye nyadhifa na amesimama kama mwakilishi wa wananchi anafanyiwa hujuma hadharani lakini raia wanakaa kimya, vipi ikifika wakati wa kushughulikia raia, nani atamtetea mwenzake? ??

ONCE BITTEN, TWICE SHY
 
Mama yuko vizuri sana. Hivi haya maCCM ni lini yataacha kukandamiza haki za raia wasiokuwa na hatia?
 
Back
Top Bottom