alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Profesa Ibrahim Lipumba Mwenyekiti HALALI wa Chama cha Wananchi CUF hivi karibuni anatarajiwa kufanya ziara ya kukijenga Chama huko Tanzania Visiwani.
Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani ya Chama Kiongozi huyo wa ngazi ya juu kabisa na aliyemuangusha na hatimae KUMFUKUZA katika Chama Maalim Seif anatarajiwa pia kukutana na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali.
Vilevile Ndugu Lipumba anategemewa kutembelea Ofisi za Chama zilipo Unguja na Pemba kwa kujionea mwenyewe uharibifu uliofanywa na wahuni na hatimae avikabidhi Vyombo vya Dola kwa hatua zaidi za Kisheria.
Kila lililo la kheri Mwenyekiti!
Kwa mujibu wa vyanzo vya ndani ya Chama Kiongozi huyo wa ngazi ya juu kabisa na aliyemuangusha na hatimae KUMFUKUZA katika Chama Maalim Seif anatarajiwa pia kukutana na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali.
Vilevile Ndugu Lipumba anategemewa kutembelea Ofisi za Chama zilipo Unguja na Pemba kwa kujionea mwenyewe uharibifu uliofanywa na wahuni na hatimae avikabidhi Vyombo vya Dola kwa hatua zaidi za Kisheria.
Kila lililo la kheri Mwenyekiti!