Mwenyekiti wa CUF ni nani kwa sasa?

Dik

JF-Expert Member
Nov 15, 2011
1,204
416
Wana jamii f nawasalimu wote!hv prof Lipumba kapotelea wapi!au ndo keshakubali mziki wa cdm!
 
Kwenye ndoa mume ndio mkuu wa nyumba.
So Mwenyekiti wa CUF kwa sasa ni JMK
 
Hamna kitu tena,wenye chama (maalim Seif) waliamua kuingia katika serikali ya ccm (ndoa), kila kitu kiliishia hapo! wala usihangaike nao tena mkuu
 
Nawashari viongozi wa CCM huku bara, waachane na akina Maalim Seif, Duni na wengineo ambao wanafaidi 'vyeo' walivyogawiwa na CCM. Nawasihi wajiunge na CDM kuikomboa Bara.
 
Mwanamke akiolewa huwa anafuata masharti ya mwoaji!thus cuf kama mke lazima itii masharti ya ccm kama bwana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom