Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Toka nimefahamu kuhusu hili swala la mafao kila siku najiuliza maswali hata sipati majibu yak. Hivi walikua sehemu gani wamekaa huku wanapanga, walikua wanamfikiria nani atakaekuja kukutana na hiki kikombe,hawakuweza hata kuwauliza ndugu zao kwamba hichi kitu kinafaa kukipeleka kwenye jamii?
Hiv hawa wabunge wa ndiooooo huwa hawakai wakafikiria hata ndugu zao me sijaona mabadiliko yoyote mazuri kwenye hiyo sheria mpya zaidi ya fao la kukosa ajira ambao ni upuuzi mtupu bora ile ya zamani ingeachwa na kuboreshwa baadhi ya vipengele na kusimamia.ipasavyo.
Hiv hawa wabunge wa ndiooooo huwa hawakai wakafikiria hata ndugu zao me sijaona mabadiliko yoyote mazuri kwenye hiyo sheria mpya zaidi ya fao la kukosa ajira ambao ni upuuzi mtupu bora ile ya zamani ingeachwa na kuboreshwa baadhi ya vipengele na kusimamia.ipasavyo.