Mwenyekiti wa chama cha upinzani kuteuliwa mkuu wa mkoa (katiba ya CCM) akikubali ni kukosa uelewa

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Je, Mkuu wa Mkoa Mteule wa Kilimanjaro Anna Mughwira ataachaje kuwa mjumbe wa vikao hivi vya CCM katika Mkoa wa Kilimanjaro???
tmp_12641-IMG_20170603_183834-237567021.jpg

tmp_12641-IMG_20170603_1749161320585365.jpg

Tusubiri vikao vya CCM mkoa wa Kilimanjaro tuone kama Anna atahudhuria
 
Someni vizuri

Hapo inasema
"Mkuu wa mkoa ambaye ni mwanachama wa ccm"

Maana yake ni kuwa kama huyo mkuu wa mkoa hatotokana na ccm (si mwana ccm) basi hatohudhuria vikao hivyo
Hiyo maana umeitoa wapi au umeamua kutafsiri unavyoona inafaa? Maana lazima kungekua na kifungu kinachofafanua kama ikitokea vinginevyo
 
Mi sijaelewa na sihitaji kuelewa.mambo ya ccm sihitaji hata kuyajua kwa namna ninavyokichukia hiki chama.watanzania kiujumla tumechoka na ccm
Familia yako ndio iliochoka na CCM ila watanzania tunayo imani na C M hadi hapo tutakapopata mbadala wake ambao sio leo au kesho utapatikana kwa upinzani huu wa design ya akina Lissu....
 
Kipengele cha mwanzo kukionesha, kimesema mkuu wa mkoa ambaye ni mwanachama wa ccm
 
Mnatakiwa kumpa kadi ya CCM kabla ya kuapishwa. !

Tulia hata hili hamkuona linakuja na kujua ya nyuma ya pazia hata lini aliongea nae haikutoka. Ndio mjue hii ni awamu ya tano. Ha ha ha haaaaa

Rais wetu anaonyesha mfano mzuri

Magufuli 2020
 
Mgwira ni CCM toka muda mrefu lakini walijificha ACT..njaa mbaya sana bado Zito kuwa Mwepesi, Siku zote magari yenye matairi vipara kumaliza safari ni kazi
 
Back
Top Bottom