4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,978
- 6,782
Tz Kuna uvumilivu tu, na uvumilivu ukishaisha ndo siku watakuja kujua
Watu Wana maumivu makubwa kwenye nyoyo zao,
Watu Wana maumivu makubwa kwenye nyoyo zao,
Eti wapumbavu wanasema Tanzania ni nchi ya amani,amani siyo kutokuwa na vita nchi bali ni furaha na uhuru wa kweli kwa raia katika taifa lao