Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Jana aliuekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Singida aliandika barua ya kujiuzulu kwa alochodai ni ukiritimba kwenye uongozi wa juu.
Wakati huo huo amedai kuwa amekuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.
Ina maana Singida hakukuwa na mtu mwingine anayefaa kuwawenyekiti?
Wakati huo huo amedai kuwa amekuwa mwenyekiti kwa zaidi ya miaka 20.
Ina maana Singida hakukuwa na mtu mwingine anayefaa kuwawenyekiti?