Hawa ni waganga njaa.Ni opportunists ambao kwa kitendo chao hicho, wamewasaliti wananchi maskini wa Tanzania. Wananifanya niamini kwamba hawajui wanachokiamini. Uwezekano mkubwa mkubwa hata hivyo ni kwamba walikuwa mapandikizi.
Kwa hiyo ni vema wameondoka mapema. Kwa vile hata hivyo wasinge saidia katika vita dhidi ya uonevu wa watanzania maskini.
Kwa hiyo ni vema wameondoka mapema. Kwa vile hata hivyo wasinge saidia katika vita dhidi ya uonevu wa watanzania maskini.