maeneo waliyofanyia mkutano wao wanaishi watu wengi kutoka visiwani zanzibar, kitendo chao cha kupeleka mkutano BAR ndicho kilipelekea kukosa watu, na hasa hii kasumba ya ukristo, waislam wanakiokopa chama hicho.
wewe ni well known KAFU supporter and a CCM puppet... i dont know how you manage those two tough loves.... mbona ghafla umekua kinara wa kufuatilia CDM
KUhusu kufungua tawi, hata watu kumi wanaweza kuanzisha tawi na baada ya mwaka ukapata members mamia, walioanzisha DMV walikua wachache mno, lakini wakaamua kuendelea mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.