Mwenyekiti wa CHADEMA kata na wana magwanda 15 wajiunga na CCM

ile kauli ya nasari kwamba kaskazini ijitenge imeanza kumgharimu.mwenye macho haambiwi tazama
 
Mapato yote ya ccm ya wilaya ya miezi miwili yametumika kuwapata hao wananchi, bado haieleweki mwezi huu mishahara watalipaje kama makao makuu hawatasaidia.
 
Tunafahamu jinsi ambavyo ccm hutumia gharama kubwa kwa mambo madogo. Wasipokuwa makini watarushwa sehemu ya makubaliano ya mshiko na hawatakuwa na pa kusemea- machizi ya samaki huishia baharini.
 
hii habari mbona imeandikwa daily news (gazeti la serikali) tu...hii ni mara ya kwanza nasikia watu kuhamia ccm frm cdm good for them ndio demokrasia hiyo
 
Wametafakari wamejitathimini nawatakia safari njema.walikuwa kwetu lakini hawakuwa wetu.
 
dah..kweli SISIEMU mmekwisha..mnasharekea wanachama 15 huku chadema tukiiteka nchi.
 
Mwenyekiti wa chadema wa moja ya kata katika arumeru mashariki bw nuru macha na wanachama wengine 15 wa chama hicho wamehamua kujiunga na ccm

source Daily News: http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/7760-chadema-ward-chairman-15-others-defect-to-ccm

Ungeendelea kusoma hilo gazeti, kule kwenye paragraph ya mwisho kuna maneno mazuri pia ya kuongezea kwenye thread yako, yanasema hivi: " ...But observers in Meru laughed off CCM's feeble attempt in winning back the confidence of Meru people saying that the aged party was dead and awaiting the ultimate burial in 2015 and that the defection of just 15 people was nothing as compared to hundreds of thousands who are still singing the opposition song ..." nadhani huyo mwandishi anajua kubalance story.
 
Habari Leo sio gazeti la chama. Ni la serikali. Tumekuwa tukichanganya sana mambo ya chama na serikali na ndio ikasababisha mali za serikali kuporwa na chama. Mfano ni viwanja vya mpira!
Filipo ni serikali ya chama cha mapinduzi.....hata hayo magazeti yamejitoa kufanya kazi ya serikali yanafanya kazi ya chama kama tbc1 !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom