Karudi nyumban?Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini na Mwenyekiti wa CHADEMA, Mkoa wa Lindi, Suleiman Mathew amehamia CCM na kueleza kuwa amerudi nyumbani. Amesema kuwa amerudi CCM kuunga mkono juhudu za maendeleo zinazoletwa na chama hicho.
View attachment 1768943
Inamaana alipokua alikua ugenini si ndioSuleiman Mathew amehamia CCM na kueleza kuwa amerudi nyumbani.
Hajahama cdm sema kuwa amerudi nyumbani kwake .Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kusini na Mwenyekiti wa CHADEMA, Mkoa wa Lindi, Suleiman Mathew amehamia CCM na kueleza kuwa amerudi nyumbani. Amesema kuwa amerudi CCM kuunga mkono juhudu za maendeleo zinazoletwa na chama hicho.
Jpm habari zake zilisha sahaulikaSasa hivi chorus imebadilika? Siyo kuunga mkono juhudi za jpm tena?
Hakuna jambo la ajabu hapo maana ni haki yake kama mtanzaniaSuleiman Mathew amehamia CCM na kueleza kuwa amerudi nyumbani.
Mbona unalia sasa?Hakuna jambo la ajabu hapo maana ni haki yake kama mtanzania
Anaye lia ni wewe uliyeachwa mjane na jiwe.Mbona unalia sasa?