MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,686
- 31,470
What is that supposed to mean? embu acheni kufikiri kila mtu anajua hayo mambo yenu ya maigizo huko mahakamani
Ukipigwa unaonewa, ukiachwa unaogopwa; ha ha ha kaaz kwel kwel.Mimi si Ufipa. Sina unasaba na Ufipa,. Hoja yangu ni wapinzania watendewe haki! Angalia Judgement, Judge amemuumbua huyu fidhuli wa Kisutu (now "Judge" of the high court, , najisi ya High court)
Lilikuwa linahitajika limepatikana. Hebu lete video zao wajkati wanaingia na za mwishoni. Wamejifunza, hawatakaa wavunje shr=eria za nchi na kama mnawapenda washaurib=ni hivyo. G Lema na Sugu wameelewa na hawavunji sheria hovyohovyo. Kila nchi ina sheria na hamna aliye juu ya sheria! nina hakika somo limeeleweka!Mbowe, Matiko warejea uraiani (waachiwa huru)
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na mhazini wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Esther Matiko wamerejea uraiani baada ya kushinda rufaa yao Mahakama Kuu Dar es Salaam.
zaidi soma hapa
Tafuta wa rika lako! have a nice evening!What is that supposed to mean? embu acheni kufikiri kila mtu anajua hayo mambo yenu ya maigizo huko mahakamani
Not in this lifeWakionekana wanapaswa kuwa nje kwa dhamana, Je watalipwa fidia ya kuwekwa ndani muda wote huo!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Takatifu wapi vidume vinakulana ..wanawake wanasaganaKwani bado tu kesi haijakwisha...?
kanisa ni moja tu Katoliki Takatifu na La Mitume..
MBAYUWAYU SI NI NDEGE???Mbayuwayu mkubwa..!
Unfortunately hakuna but there is living GodManeno ya Jaji Rumanyila sums it all. Hivi hakuna utaratibu wa "kijaji" kuwatia discipline mahakimu wanaokanyaga kwa makusudi haki za wengine left right and center?
Yule Hakimu amekuwa JajiManeno ya Jaji Rumanyila sums it all. Hivi hakuna utaratibu wa "kijaji" kuwatia discipline mahakimu wanaokanyaga kwa makusudi haki za wengine left right and center?
Akili za lumumba hizi!!!Wako wapi akina babu seya?Walibaka vitoto na wakasamehewa tena wakakaribishwa na ikulu!Esther Matiko dhamana akipewa atimue mbio akawakumbatie polisi awaombe wampe ulinzi hadi nyumbani huyo mkware Mbowe asije mngangania ukitilia maanani kakaa ndani muda mrefu ana usongo.
Umeelewa alichosema jaji? Au mihemko ya chama inakusumbua.Daah kule Si kuzuri kabisa, jambo la heri kama wametoka,ila ni vema wasirudie kosa kama hilo la kuidharau mahakama