Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,854
Wakati wenzako wanaomboleza Rais wetu na Mwenyekiti wa Chama chako wewe akili zako ziko kwa Mbowe. Hivi amekufanya nini huyu jamaa?Mwambie miaka 20 ya uenyekiti inamtosha, mwisho 2024. Tutachagua mwenyekiti mwingine, kile ni chama Cha watanzania sio family
Amandla...