Duuh 😳Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Freeman Mbowe amejikuta akihutubia umati wa watoto huko buhigwe kigoma baada ya wafuasi wa chama hicho kususia mkutano wake.
Jionee mwenyeweView attachment 2630444View attachment 2630445View attachment 2630445
Tena za kijinga eti It wa ccm amekaa na ku edit picha na kupostPropaganda
Millard Ayo hanaga propaganda mkuu hii ni kweli tupuPropaganda
Tena za kijinga eti It wa ccm amekaa na ku edit picha na kupost
Zita amecomment kipambe sana....😂😂😂
Mbowe ni kama vile analazimisha tu. Ameshafanya kila linalowezekana na ni lijendi kwenye siasa za upinzani. Apumzike sasa abakie kuwa mshauri tu. Ni wakati wa akina Tundu, Heche na wengine nao kujaribu. Yaani Mbowe utafikiri siyo yeye....Millard Ayo hanaga propaganda mkuu hii ni kweli tupu
😀😀Erythrocyte tupe na picha zako tuone.
Nilitoa ushauri huu vilazza wakatukana.Mbowe ni kama vile analazimisha tu. Ameshafanya kila linalowezekana na ni lijendi kwenye siasa za upinzani. Apumzike sasa abakie kuwa mshauri tu. Ni wakati wa akina Tundu, Heche na wengine nao kujaribu. Yaani Mbowe utafikiri siyo yeye....
Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Freeman Mbowe amejikuta akihutubia umati wa watoto huko buhigwe kigoma baada ya wafuasi wa chama hicho kususia mkutano wake.
Jionee mwenyeweView attachment 2630444View attachment 2630445View attachment 2630445
Kasemaje?Zita amecomment kipambe sana....😂😂😂