Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wa CCM umenikosha kwa kumwengua Juma Nkamia wa Jimbo la Chemba, Dodoma

Hakika kati ya watu walioenguliwa na CCM katika kugombea Ubunge, mmoja wapo wa wananojulikana sana ni Juma Nkamia wa jimbo la Chemba kule Dodoma.

Huyu Mbunge amekuwa akijipendekeza kinafiki na mwa kuudhi, kwa Rais Magufuli wazi wazi. Amekuwa akitaka muda wa Urais wa Magufuli uongezwe kwa kubadili katiba. Mapendekezo yake ati muda wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyopo.

Rais Magufuli is on record kusema akimaliza muda wake wa Urais hataongeza hata siku moja, na ataondoka kumpisha mwingine ajaye.

Sasa hizi ngebe za Juma Nkamia sijui alikuwa anafikiria nini, wengine wakisema ati katumwa kupima upepo.

Jibu tumeliona. Juma Nkamia ni pumba za kisiasa, hakuna aliyemtuma na sasa arudi kwenye kazi yake ya zamani, akatangaze vikao vya kijiji chake.

Kujikomba nako ujinga.
Ali Kessy karudi lakini naye alikua na ajenda hiyo hiyo?
 
Juma Nkamia ni aina ya mtu mwenye kihere here sana ni mjuaji mno ana vitabia vya hovyo hovyo sana nadhani CCM wamepitia file lake lote wakaona ni kajitu Hatari kasiko na busara
Simtofautishagi na maulidy kitenge
 
Ni mapema sana, awamu hii ni kutoa nafuu na kuweka afadhali, anaweza kuteuliwa nafasi ya kimkakati! Mrisho gambo si unamuona anapoelekea? ...potential cabinet member...
Uwaziri katika awamu ya Anko Magu siyo dili.
Ulizia vichwa kama Prof Muhongo wako wapi sasa.
 
Watu wanafikiri Mgufuli ni mjinga.
Majuzi kawafurumua TAKUKURU kwa kujenga ofisi Chato eti kumfurahisha.
Nkamia sasa zake zimefika.
Ndugai na wengine wajue kuwa ni muda wa kutia maji kabla ya kunyolewa.
Nitafurahi Ndugai asipata Tena uspeaker.
 
Hakika kati ya watu walioenguliwa na CCM katika kugombea Ubunge, mmoja wapo wa wananojulikana sana ni Juma Nkamia wa jimbo la Chemba kule Dodoma.

Huyu Mbunge amekuwa akijipendekeza kinafiki na kwa kuudhi, kwa Rais Magufuli wazi wazi. Amekuwa akitaka muda wa Urais wa Magufuli uongezwe kwa kubadili katiba.
Mapendekezo yake ati muda wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyopo.

Rais Magufuli is on record kusema akimaliza muda wake wa Urais hataongeza hata siku moja, na ataondoka kumpisha mwingine ajaye.

Sasa hizi ngebe za Juma Nkamia sijui alikuwa anafikiria nini, wengine wakisema ati katumwa kupima upepo.

Jibu tumeliona.
Juma Nkamia ni pumba za kisiasa, hakuna aliyemtuma na sasa arudi kwenye kazi yake ya zamani, akatangaze vikao vya kijiji chake.

Kujikomba nako ujinga.

Magufuli ana akili sana
 
Hakika kati ya watu walioenguliwa na CCM katika kugombea Ubunge, mmoja wapo wa wananojulikana sana ni Juma Nkamia wa jimbo la Chemba kule Dodoma.

Huyu Mbunge amekuwa akijipendekeza kinafiki na kwa kuudhi, kwa Rais Magufuli wazi wazi. Amekuwa akitaka muda wa Urais wa Magufuli uongezwe kwa kubadili katiba.
Mapendekezo yake ati muda wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyopo.

Rais Magufuli is on record kusema akimaliza muda wake wa Urais hataongeza hata siku moja, na ataondoka kumpisha mwingine ajaye.

Sasa hizi ngebe za Juma Nkamia sijui alikuwa anafikiria nini, wengine wakisema ati katumwa kupima upepo.

Jibu tumeliona.
Juma Nkamia ni pumba za kisiasa, hakuna aliyemtuma na sasa arudi kwenye kazi yake ya zamani, akatangaze vikao vya kijiji chake.

Kujikomba nako ujinga.

Usiziamini sana siasa ya nchi hii.
 
Hakika kati ya watu walioenguliwa na CCM katika kugombea Ubunge, mmoja wapo wa wananojulikana sana ni Juma Nkamia wa jimbo la Chemba kule Dodoma.

Huyu Mbunge amekuwa akijipendekeza kinafiki na kwa kuudhi, kwa Rais Magufuli wazi wazi. Amekuwa akitaka muda wa Urais wa Magufuli uongezwe kwa kubadili katiba.
Mapendekezo yake ati muda wa Urais uwe miaka 7 badala ya mitano iliyopo.

Rais Magufuli is on record kusema akimaliza muda wake wa Urais hataongeza hata siku moja, na ataondoka kumpisha mwingine ajaye.

Sasa hizi ngebe za Juma Nkamia sijui alikuwa anafikiria nini, wengine wakisema ati katumwa kupima upepo.

Jibu tumeliona.
Juma Nkamia ni pumba za kisiasa, hakuna aliyemtuma na sasa arudi kwenye kazi yake ya zamani, akatangaze vikao vya kijiji chake.

Kujikomba nako ujinga.
vipi nkamia,kange,je wataendelea kusifu na kuabudu baada ya ajira zao kukoma
 
badala ya kuomba aongozewe mda jimboni mwake eti anamuombea mwanaume mwenzake aongezewe mda
 
Kwa mara ya kwanza JPM kanifurahisha kwa kuyakata majina yafuatayo
1. mwakyembe
2. nkamia
3. chenge

Kwa mtizamo wangu mimi hawa wajinga walijiona kama wao ndio wameibeba ccm pamoja na nchi.
wakajiajiri kama wanavotaka vijana wakajiajiri
 
Jamaa bogus lilikazania sana Magu aongezewe muda wakati mwaka huu hatoboi
 
Back
Top Bottom