Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
Namfahamu Lucille pekee au Kuna mwingine??Huyo huyo..na dadake walisema wanampachika viti maalumu...sijui Kama atapata
Namfahamu Lucille pekee au Kuna mwingine??Huyo huyo..na dadake walisema wanampachika viti maalumu...sijui Kama atapata
Sijajua..huenda ni huyo huyoNamfahamu Lucille pekee au Kuna mwingine??
Du watu mna dataaaaa......!Huyo huyo..na dadake walisema wanampachika viti maalumu...sijui Kama atapata
halafu pesa zilivyo za kijanga sasa, unaweza ukute ana over Billion ila zikakatika hv hv asiamin macho yake, ndipo atajua Tz na penyewe kuna hewa safi kabisa, pesa hua kubwa tu pale ambapo mtu hajaishikaAmeuza Mali za mamake zote..alafu mkewe anajiona Kama hafai kuvuta hewa ya Tz. Yaan anajikuta huyo...ngoja nisiendee wasije nifahamu buree
Huenda akaibukia kwenye vyeo vya uteuzi kama DED, DAS, RAS, DC au RC.
Uliona mbali Sana. KongoleMagufuli oyee..
Ally Kessy nae angepigwa chini ningemuelewa Zaid